Tatizo la simu kuwa rooted ni ipi?

Tatizo la simu kuwa rooted ni ipi?

Kumfumaster97

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2024
Posts
354
Reaction score
372
Habari za asubuhi ,hope mmeamka salama kwa wale wanaokumbwa na changamoto za hapa na pale Mungu ni mwingi wa Rehema hakika atawaponya.

Moja kwa moja kwenye mada ,ipo hivi kuna ndugu alinunua simu (Samsung A05 plain) mtaani cha ajabu baada ya muda ikawa blocked yaani Imei yake so baada ya hiyo shida akairudisha kwa mwenyewe kwenda kuirekebisha so far ikakubali yaani alienda kui-root

Sasa shida ni kwamba baada ya kuiroot akawa ame upload app (NMB)Baada ya kui-upload ikawa inagoma kufungua badala yake inaandika huwezi kufungua app hii kwa sababu simu iko rooted msaada wakuu mwenye uelewa au uwezo wa kufix hii changamoto au ushauri wowote
 
Simu ikiwa Rooted, inakosa security thabiti. Kuroot simu ni kuondoa vizuizi vinavyozuia matumizi ya huduma ya simu husika kama mtengenezaji alivyokusudia na unakua umeruhusu matumizi mengi ambayo hayawezi kudhibitiwa na mtengeneza simu au mtoa huduma.
 
Simu ikiwa Rooted, inakosa security thabiti. Kuroot simu ni kuondoa vizuizi vinavyozuia matumizi ya huduma ya simu husika kama mtengenezaji alivyokusudia na unakua umeruhusu matumizi mengi ambayo hayawezi kudhibitiwa na mtengeneza simu au mtoa huduma.
So hapo hakuna jinsi ya kufix ili kufungua app
 
So hapo hakuna jinsi ya kufix ili kufungua app
Piga chini Yote yaannfanya flashing uingize firmware yake Upya japo unaweza kukutana na changamoto nyinginezo kama tatizo lipo kwenye Imei...

Nakushauri hiyo kazi wapelekee wataalam wa hayo mambo usifanye wewe mwenyewe walanhuyonjamaa ako.
 
Piga chini Yote yaannfanya flashing uingize firmware yake Upya japo unaweza kukutana na changamoto nyinginezo kama tatizo lipo kwenye Imei...

Nakushauri hiyo kazi wapelekee wataalam wa hayo mambo usifanye wewe mwenyewe walanhuyonjamaa ako.
sawa mkuu 🙏
 
Habari za asubuhi ,hope mmeamka salama kwa wale wanaokumbwa na changamoto za hapa na pale Mungu ni mwingi wa Rehema hakika atawaponya.
Moja kwa moja kwenye mada ,ipo hivi kuna ndugu alinunua simu (Samsung A05 plain) mtaani cha ajabu baada ya muda ikawa blocked yaani Imei yake so baada ya hiyo shida akairudisha kwa mwenyewe kwenda kuirekebisha so far ikakubali yaani alienda kui root
Sasa shida ni kwamba baada ya kuiroot akawa ame upload app (NMB)Baada ya kui upload ikawa inagoma kufungua badala yake inaandika huwezi kufungua app hii kwa sababu simu iko rooted msaada wakuu mwenye uelewa au uwezo wa kufix hii changamoto au ushauri wowote
Zima develope data Kisha mpango
 
Back
Top Bottom