Tatizo la simu yangu kutotuma sms msaada tafadhali

Tatizo la simu yangu kutotuma sms msaada tafadhali

Mboju

Member
Joined
May 4, 2021
Posts
78
Reaction score
178
Habari wanajf. Simu yangu haitumi sms but naweza kupokea sms. Kila nikituma inasema failed. Sijajua tatizo nataka kuona kama message center number ni tofauti kwani kwangu inasomeka +25575114.
 
Habari wanajf. Simu yangu haitumi sms but naweza kupokea sms. Kila nikituma inasema failed. Sijajua tatizo nataka kuona kama message center number ni tofauti kwani kwangu inasomeka +25575114.
Simu yako? Simu gani

Mtandao gani unatumia?

Je mwanzo ilikua ikituma txt vzur au?
 
Simu yako? Simu gani

Mtandao gani unatumia?

Je mwanzo ilikua ikituma txt vzur au?
Samsung galaxy J7 mtandao ni Vodacom hii laini toka nimeinunua sijawahi kutuma sms zaidi ya kupokea tu
 
Habari wanajf. Simu yangu haitumi sms but naweza kupokea sms. Kila nikituma inasema failed. Sijajua tatizo nataka kuona kama message center number ni tofauti kwani kwangu inasomeka +25575114.
Reset hiyo laini kwenye menu yao wana option ya kucheck tatizo na kuireset! Ila njia ya haraka wa check WhatsApp watakutatulia chap tatizo lako.

Kingine angalia app unayotumia kwa sms kama ni stock unaweza kujaribu za playstore zile third-party applications kama Google Messager, Mood Messager n.k
 
Wacheki WhatsApp 0754100100
Shukran sana mkuu!

Kwa zaidi ya mwaka mmoja line yangu ya Voda ilikuwa haitumi sms. Lakini leo nilipopata dharura iliyonihitaji nitume sms kwa line ya Voda, nililazimika kutafuta namna. Kama leo ningekuwa maeneo ya mijini, ningeenda ofisi za Vodacom.

Katika kutafuta msaada, niliingia humu jamvini kutafuta nyuzi zenye majibu ya hitaji langu.

Nilijaribu njia kadhaa zilizopendekezwa na wadau lakini sikusaidika. Lakini baada ya kuwasiliana na Voda kwa WhatsApp kwa namba uliyoiweka, tatizo la line yangu lilipata ufumbuzi. Leo nimeweza kutuma sms ikiwa ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tokea hiyo changamoto iikumbe line yangu ya Vodacom.

Nawashukuru wote waliotoa ushauri kwenye huu uzi na zingine zinazofanana na huu.

Lakini kipekee, nakushukuru wewe kwa kuweka namba ya WhatsApp ya Voda. Imekuwa ya msaada mkubwa sana kwangu. Ajabu ni kuwa sikuwa nafahamu kuwa kuna huduma ya kuwasiliana na Vodacom kwa WhatsApp.

Japo comment yako ni ya mwaka 2021, imeweza kunisaidia leo Julai 2024.

Ninashukuru sana🙏
 
Shukran sana mkuu!

Kwa zaidi ya mwaka mmoja line yangu ya Voda ilikuwa haitumi sms. Lakini leo nilipopata dharura iliyonihitaji nitume sms kwa line ya Voda, nililazimika kutafuta namna. Kama leo ningekuwa maeneo ya mijini, ningeenda ofisi za Vodacom.

Katika kutafuta msaada, niliingia humu jamvini kutafuta nyuzi zenye majibu ya hitaji langu.

Nilijaribu njia kadhaa zilizopendekezwa na wadau lakini sikusaidika. Lakini baada ya kuwasiliana na Voda kwa WhatsApp kwa namba uliyoiweka, tatizo la line yangu lilipata ufumbuzi. Leo nimeweza kutuma sms ikiwa ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tokea hiyo changamoto iikumbe line yangu ya Vodacom.

Nawashukuru wote waliotoa ushauri kwenye huu uzi na zingine zinazofanana na huu.

Lakini kipekee, nakushukuru wewe kwa kuweka namba ya WhatsApp ya Voda. Imekuwa ya msaada mkubwa sana kwangu. Ajabu ni kuwa sikuwa nafahamu kuwa kuna huduma ya kuwasiliana na Vodacom kwa WhatsApp.

Japo comment yako ni ya mwaka 2021, imeweza kunisaidia leo Julai 2024.

Ninashukuru sana🙏
Huduma Kwa Mteja Tigo Kupitia WhatsApp 0714100100
 
Shukran sana mkuu!

Kwa zaidi ya mwaka mmoja line yangu ya Voda ilikuwa haitumi sms. Lakini leo nilipopata dharura iliyonihitaji nitume sms kwa line ya Voda, nililazimika kutafuta namna. Kama leo ningekuwa maeneo ya mijini, ningeenda ofisi za Vodacom.

Katika kutafuta msaada, niliingia humu jamvini kutafuta nyuzi zenye majibu ya hitaji langu.

Nilijaribu njia kadhaa zilizopendekezwa na wadau lakini sikusaidika. Lakini baada ya kuwasiliana na Voda kwa WhatsApp kwa namba uliyoiweka, tatizo la line yangu lilipata ufumbuzi. Leo nimeweza kutuma sms ikiwa ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tokea hiyo changamoto iikumbe line yangu ya Vodacom.

Nawashukuru wote waliotoa ushauri kwenye huu uzi na zingine zinazofanana na huu.

Lakini kipekee, nakushukuru wewe kwa kuweka namba ya WhatsApp ya Voda. Imekuwa ya msaada mkubwa sana kwangu. Ajabu ni kuwa sikuwa nafahamu kuwa kuna huduma ya kuwasiliana na Vodacom kwa WhatsApp.

Japo comment yako ni ya mwaka 2021, imeweza kunisaidia leo Julai 2024.

Ninashukuru sana🙏
Walikupa code za kupiga ili ifunguke?

Kama ulipewa code weka mkuu wengine wafaidike
 
Back
Top Bottom