Tatizo la simu yangu.

Tatizo la simu yangu.

Joined
May 8, 2012
Posts
29
Reaction score
4
Simu yangu ni nokia 6151, na tatizo lake kubwa ni kwamba "switch" yake ya kuwashia imeharibika. Sasa ni kwa jinsi gani naweza kulitatua tatizo hili? Je, ninunue "housing" nyingine mpya ili kuipata "switch" yake ya kuwashia au "switch" yake yaweza kupatikana bila kununua "housing" nyingine mpya? Naomba mnisaidie wana jf.
 
Simu yangu ni nokia 6151, na tatizo lake kubwa ni kwamba "switch" yake ya kuwashia imeharibika. Sasa ni kwa jinsi gani naweza kulitatua tatizo hili? Je, ninunue "housing" nyingine mpya ili kuipata "switch" yake ya kuwashia au "switch" yake yaweza kupatikana bila kununua "housing" nyingine mpya? Naomba mnisaidie wana jf.
Wataalamu/mafundi wanasemaje? JULIUS MKANYIA Pitia jukwaa la Technology kunaweza kupatikana ufumbuzi kule
 
Last edited by a moderator:
Simu yangu ni nokia 6151, na tatizo lake kubwa ni kwamba "switch" yake ya kuwashia imeharibika. Sasa ni kwa jinsi gani naweza kulitatua tatizo hili? Je, ninunue "housing" nyingine mpya ili kuipata "switch" yake ya kuwashia au "switch" yake yaweza kupatikana bila kununua "housing" nyingine mpya? Naomba mnisaidie wana jf.

Ukiona hivyo jua inakaribia expire date
 
Simu yangu ni nokia 6151, na tatizo lake kubwa ni kwamba "switch" yake ya kuwashia imeharibika. Sasa ni kwa jinsi gani naweza kulitatua tatizo hili? Je, ninunue "housing" nyingine mpya ili kuipata "switch" yake ya kuwashia au "switch" yake yaweza kupatikana bila kununua "housing" nyingine mpya? Naomba mnisaidie wana jf.
Itupe tu mkubwa..............
 
Back
Top Bottom