Lung'wecha
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 927
- 574
Wakuu asalaam aleykum!
Kuna hizi gari toyota raum kuwa na tatizo la kuwaka "alama ya pembetatu na mshangao ndani yake (red triangle sign)" kwenye dashbord.Mwanzoni nilidhani ni hii tu yangu ila nimefatilia kwa watu wengi wenye raum nakuta tatizo hilohilo na wanaendelea na mishe zao, wengine wakisema haina shida kwa maana ya kuwa milango yake ndo husababisha hiyo hali, mara umeme!
Mwenye uelewa kwanini raum zinakuwa hivyo anisaidie.
Shukrani!
Kuna hizi gari toyota raum kuwa na tatizo la kuwaka "alama ya pembetatu na mshangao ndani yake (red triangle sign)" kwenye dashbord.Mwanzoni nilidhani ni hii tu yangu ila nimefatilia kwa watu wengi wenye raum nakuta tatizo hilohilo na wanaendelea na mishe zao, wengine wakisema haina shida kwa maana ya kuwa milango yake ndo husababisha hiyo hali, mara umeme!
Mwenye uelewa kwanini raum zinakuwa hivyo anisaidie.
Shukrani!