Tatizo la Taa za Barabarani Stendi ya Morocco hadi Biafra lamalizika, Usalama Waimarishwa

Tatizo la Taa za Barabarani Stendi ya Morocco hadi Biafra lamalizika, Usalama Waimarishwa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Taa za barabarani kuanzia Stand ya Morocco hadi Biafra, Kinondoni, ambazo zilikuwa zimeharibika kwa muda na kusababisha giza hatarishi, sasa zimerekebishwa na zinafanya kazi vizuri.

Soma: Taa za barabarani eneo la Stendi ya Morocco hadi Biafra zitengenezwe, ni hatari kwa usalama

Giza ambalo lilikuwa linahatarisha usalama wa watumiaji wa Stendi na barabara, ikiwemo watembea kwa miguu na magari yanayoingia na kutoka eneo lenye shughuli nyingi, limeondolewa.
5825896307372442838.jpg
 
Security cameras be installed kila baada ya mita 25
 
Back
Top Bottom