William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Niko bariadi na mafundi wa huku si wazuri sana naomba kujua tatizo ni nini haswa
kupitia kwenye mitandao nilikuja kugundua kuwa oxygen sensor iliyopo kwenye exsoz ilikuwa disconnected na nahisi imekufa nataka kujua bei yake ikiwa mpya na bei ya nozzles pia na ushauri wa nini cha kufanya
Nataka nikaishugulikie Mwanza soon
kupitia kwenye mitandao nilikuja kugundua kuwa oxygen sensor iliyopo kwenye exsoz ilikuwa disconnected na nahisi imekufa nataka kujua bei yake ikiwa mpya na bei ya nozzles pia na ushauri wa nini cha kufanya
Nataka nikaishugulikie Mwanza soon