Poleni na kazi wanajamvi mimi shida yangu ni kwamba naumwa sana tumbo kwnye kitovu linavuta kama manati jamani nisaidieni korodani moja imepanda toka muda sasa na sometime nyngne huwa inapandag na kushuka ila kikubwa tumbo linavuta ile mbaya na sinna ata hamu ya chakula nimetumia mizizi ya ndulele asali mbichi mdalasini inapoa kidogo but tatizo linajirudia jamani natoa hii thread naumwa sana wandugu nakufa mie uwiiiiiiiiiiiiii[emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27]