Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Siku hizi ukifungua mitandao ya kijamii utakutana na matangazo mengi ya kurefusha uume, mara kuongeza kiu ya tenda la ndoa au kutibu ukosefu wa nguvu za kiume.
Hawa watu wanakuja kwa ushawishi mkubwa mpaka unaweza ukahisi una tatizo ukilinganisha na performance yako kitandani.
Wanachokifanya hawa matapeli ni kukujengea hofu(kukutia kwenye tatizo) huku huna tatizo.
Kiujumla jamii ya Tanzania haijakumbwa tatizo la ukosefu au upungufu wa nguvu za kiume kama wanavyotukuza wauza hizi dawa za asili.
Serikali idhibiti haya matangazo ya hovyohovyo kama walivyodhibiti matangazo ya michezo ya kubahatisha kwenye television na radio stations.
Hawa watu wanakuja kwa ushawishi mkubwa mpaka unaweza ukahisi una tatizo ukilinganisha na performance yako kitandani.
Wanachokifanya hawa matapeli ni kukujengea hofu(kukutia kwenye tatizo) huku huna tatizo.
Kiujumla jamii ya Tanzania haijakumbwa tatizo la ukosefu au upungufu wa nguvu za kiume kama wanavyotukuza wauza hizi dawa za asili.
Serikali idhibiti haya matangazo ya hovyohovyo kama walivyodhibiti matangazo ya michezo ya kubahatisha kwenye television na radio stations.