hmaloh Senior Member Joined Nov 22, 2018 Posts 162 Reaction score 314 Jan 29, 2025 #1 Hii sasa imekuwa too much wananzengo Yani katika wiki Moja kupata umeme wa uhakika labda ni siku tatu! "what a shame to authority" Jamani mnaohusika oneni aibu hii sio sawa kabisa mnazingua sana
Hii sasa imekuwa too much wananzengo Yani katika wiki Moja kupata umeme wa uhakika labda ni siku tatu! "what a shame to authority" Jamani mnaohusika oneni aibu hii sio sawa kabisa mnazingua sana
Ndalilo JF-Expert Member Joined Jan 30, 2013 Posts 3,343 Reaction score 7,516 Jan 29, 2025 #2 Ukuaji wa Panzi ndo Tanzania yetu ilivyo...isipokuwa TZ inaruka hatua..yaani lishafikia hatua ya kuwa kilui lui, imerudi kuwa lava! Hata sijui nasemaje!
Ukuaji wa Panzi ndo Tanzania yetu ilivyo...isipokuwa TZ inaruka hatua..yaani lishafikia hatua ya kuwa kilui lui, imerudi kuwa lava! Hata sijui nasemaje!
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Jan 29, 2025 #3 Halafu wanataka mchakato wa kuwauzia majirani daah
hmaloh Senior Member Joined Nov 22, 2018 Posts 162 Reaction score 314 Jan 29, 2025 Thread starter #4 Numbisa said: Halafu wanataka mchakato wa kuwauzia majirani daah Click to expand... Inachekesha sana