Tatizo la Urefu kupita kiasi.nini kizuizi chake

Golden felician

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2018
Posts
216
Reaction score
36
Naomba msaada.vyakula gani vinavyozuia au kasi ya mtu kurefuka kupita kiasi
 
Kabebe ndoo za maji kwenye milima ya Uluguru.
 
Ni genetics ingawa wachina walisifiwa kwa ufupi kwa miaka mingi chakula chao ni mchele. Wana kunywa uji wa mchele asubuhi, mchana na jioni wali. Wachina walioanza kula salad na protein walirefuka
 
Umejuaje kuwa wewe ni mrefu?
Maana urefu unategemeana na sehemu iluliopo, ndo maana hapa duniani hakuna mtu fupi.
 
Ni genetics ingawa wachina walisifiwa kwa ufupi kwa miaka Minho chakula chap ni mchele. Wana kunywa uji wa mchele asubuhi, mocha na jioni wali. Wachina walioanza kula salad na protein walirefuka
"Sky eclat kwenye uboora wako" hivi ww ni daktari? Ee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…