Tatizo la uso kupauka/kubabuka

spea mkononi

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2015
Posts
345
Reaction score
324
Wadau,

Nasumbuliwa na tatizo la ngozi ya uso kubabuka au kupauka yaani nikipaka mafuta baada ya mda unapauka sijawah kutumia mkorogo wa aina yoyote nlienda phamacy wakanipa cream ya kujipaka ila tatizo likarudi tena.

Naombeni msaada kwa anayefaham n aina gn ya mafuta nitumie ili kuondoa tatizo hili.

Yaani uso wangu sio soft unakuwa una mgumu na mabakamabaka.

Msaada pllllllz!
 
Kula vyakula vyenye jamii ya mafuta kama karanga
 
Jaribu kutumia nivea ile ya kwenye kopo la blue iloandikwa "for dry skin"uiongezee gricelyn.
 

Karibu Oriflame...tuna lotion ya "Happy skin" ni nzuri kwa ngozi kavu!utaondoa tatizo lako..tuwasiliane 0655868643
 
Mdau kula matunda hasa hasa parachichi na machungwa utapata ngozi yako iliyopotea ndani ya wiki mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…