Pia kuna lotion ya queen elizabeth ni nzuribado cjafanikiwa
poa ntaichekPia kuna lotion ya queen elizabeth ni nzuri
thanxxKunywa maji mengi sana, na matunda vitamin c kwa ajili ya kurutubisha ngozi, tumia nazi kwenye chakula kama mboga mboga katika upishi, wali, maharage, kunde, muhogo, ndizi za mkono wa tembo.
Utaona uso una shine baada ya muda mfupi. Nazi ina mafuta muhimu sana mwilinu
pouaOliver Oil na sabuni ya jamaa. Jaribu hiyo.
poa nduguChukulia kuwa tatizo limekwisha.
Soma hapa: Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana
ShimbonyJaribu kutumia nivea ile ya kwenye kopo la blue iloandikwa "for dry skin"uiongezee gricelyn.
duuhPole kula karanga kwa wingi mkuu, ila hilo jina lako duh ninaendana na uso wako mgumu.
jinc ya kuchanganya pllllzJaribu kutumia nivea ile ya kwenye kopo la blue iloandikwa "for dry skin"uiongezee gricelyn.