Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

nilijua umekatika kumbe umepinda tu..... haaaahaaaa haaa nikwambie kitu unapinda kwa sababu unavaa sana chupi wewe unaubana upande mmoja huzionagi za wazungu kwenye x wewe

Anavaa chupi zinazofanana na za kike. Avae boksa au bukta
 
According to tropism in biology uume wako umefwata chupitropism....bahati mbaya mimi five na six nilisoma PCM hivyo cjui tena kuhusu tropism baada ya form four..but is that I guess!
 
Anza kuvaa msuli utanyoka,pia acha kuvaa pichu usiku wakati wa kulala
 
Chunguza kushoto kunanini,kama mmea ukipindia mahali kwenye mwanga tunasema phototropisim,au ukifuata maji tunasema hydrotropism.sasa huo uume inaweza kuwa ni pussytropisim.

Ushauri; nunua rula ya mbao funga na kitambaa kuunyoosha

Hua na mshukuru alieanzisha jamii forum ona sasa huyu mtu kafanya siku yangu imeenda vizuri kabisa...hahahaha.
 
Dah ila kweli mkuu..inawezekana kushoto kwako kuna pussy and in tropism we say that is the condition where the plant grows towards the stimulus...and in this case pussytropism and nothing else.
 
duuh mwambie demu wako awe anakukatikia kuelekea kulia... utanyooka tyuu!
 
Solution ni pussy tafuta faster litanyoka ilo li have d*ck
 
Hongera kwa kutoa mkono wa sweta na pia kwa uume kupinda maana itasaidia walau kusugua kuta. We tangu lini dudu likawa limenyooka kama pensil ?
 
ukiwa umechoka na pilikapilika za utafutaji wa maisha, au you are bored with something, pitia humu kwa wana jamvi, uta cheka na kufurahi kwa ushauri na response za wadau! sometimes, when you consider each advise seriously utachemka japo ni muhimu kwa maisha ya kawaida, mkuu wa kaya aliwahi kuwatania wafanyakazi wa nchi hii kuwa, "akili za kuambiwa changanya na zako"
 
Huna tatizo Mkuu!!! We uchokonoechokonoe udorore doroooo.. ndiyo hapa utaanza kulia kilio cha mbwa mdomo juu.
 
Mkuu mimi sioni tatizo huo uume wako ukipinda,kwa naamini utaendelea kufanya kazi kama kawaida!

Mkuu jamaa anatangaza biashara anaweza akapata majimama humu yanayopenda migegedo mirefu so anajipa Promo tu,tangu lini ukitairiwa mgegedo unaongezeka urefu? Labda angesema umepungua urefu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…