Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

Wakuu embu msaidieni huyu mtu. Uume wake umepinda kuelekea chini inakuaje. Na unamsumbua wakati wa kusex.

Wewe ni jinsia gani!? Uume hupindia kushoto Kama unapenda kuvaa underwear za kubanwa, lakini haupindi kiviile kwakuwa ni msuli.

Uuume unaopinda kwenda chini hilo ni tatizo la erection yani ni Dalili za uhanithi na pia sababu nyingine ni kupenda sana kufanya mapenzi kinyume na maumbile.

Normal erection ni nyuzi 45• 👆 yani ngoma Kama inaangalia juu, na hii inafuata maumbile ya utupu wa mwanamke.
 

Mtu huyo anasaidikaje sio mimi.
 

Anasema wakati anatahiriwa kuna nyama fulani haikukatwa hvyo uume ukisimama unakua hau wima unapinda kidogo.
 
Sema ni wewe tu bana haina noma Kama ni uhanithi kuna tiba za asili na pia kuna vidonge vya wadhungu Kama ni mlandogo itamchukua muda kupona

Uume unasimama na leo katoka kula mzgo ndo kanihadithia hlo tatzo
 

Navojua mimi inatakiwa kuerect 115° kama sio 105°, kama angle ya askari anayotakiwa kutizama anapokua kasimama mguu sawa.
 
Wewe si unasali kwa yule sista du white wa mbezi beach!.
 
Hiyo ni normal tu brother, tatizo la humu kuna watu wanafikir kutumia mata.k.o kama hao wanaotoa ushauri wa kiseng*. Uume una erect angle yeyote inategemea na maumbile, kuna mengne yanaelekea juu, mengine kulia mengne kushoto na mengne yanatizama chini kama wako. Enjoy your uniqueness brother.
 

Hahaha sawa mkuu asante
 

Ndiyo maujuzi mnayopata kutoka kwa yule nabii?
 
Koromeo nakuapia hujui Unachoongea.....kama yako ingekuwa erection ni 45upwards nina hakika usingeporomosha hizi kashfa na matusi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…