Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 839
hbr zenu wanajf
mi nilpatwa na uvimbe km upele kwenye uume baadae ule uvimbe uliisha lakn uume ukawa unawasha sana sasa hivi nashangaa kila uume ukisimama au nikitizama uume nikijaribu kubonyeza unatoka usaha kidogo sasa sijui tatizo ninin?nishaurini pls!
mi nilpatwa na uvimbe km upele kwenye uume baadae ule uvimbe uliisha lakn uume ukawa unawasha sana sasa hivi nashangaa kila uume ukisimama au nikitizama uume nikijaribu kubonyeza unatoka usaha kidogo sasa sijui tatizo ninin?nishaurini pls!