shimwemwe Member Joined Aug 7, 2012 Posts 65 Reaction score 2 Nov 6, 2012 #1 Wana FJ napenda kujua kuna athari gani ambazo zizaweza kumpata mtu mwenye tatizo la uvimbe katika tumbo la uzazi. Napata shida jinsi ya kumpa msaada mtu wangu wa karibu, je dawa yake au suluhisho lake nini?
Wana FJ napenda kujua kuna athari gani ambazo zizaweza kumpata mtu mwenye tatizo la uvimbe katika tumbo la uzazi. Napata shida jinsi ya kumpa msaada mtu wangu wa karibu, je dawa yake au suluhisho lake nini?
Billie JF-Expert Member Joined Aug 13, 2011 Posts 13,588 Reaction score 22,752 Nov 6, 2012 #2 madhara ni kuwa aweza akawa mgumba so waone madaktari bingwa wa magonjwa ya kina mama.
shimwemwe Member Joined Aug 7, 2012 Posts 65 Reaction score 2 Nov 7, 2012 Thread starter #3 asante ndugu pia chanzo chake ni nini Billie