sawa kabisa , aende hospital for further check up and examination atapata suluhisho la kinacho msibu.Nenda hospitalini kama unaona kitu chochote ktk mwili wako hakiko sawa!
Wahi hospitali Jose022Uvimbe hauna maumivu upo kwa ndani ni Mdogo sana upo kitu kama mtoki
Bado sijauelewa ndo maana kaambiwa nika mshauri aende hospwewe umeelewa huo ugonjwa ?
sasa mbona mnaniponda mimi nilieomba picha angeweka picha huoni tungeelewa na kumsaidia?Bado sijauelewa ndo maana kaambiwa nika mshauri aende hosp
Hiyo itakuwa Hernia,katika early stages-with time uvimbe utakuwa mkubwa na pain itakuja na kuondoka-operation yake ni cha mtoto,unafanyiwa asubuhi jioni waenda nyumbaniUvimbe upo pembeni ya uume na siyo kwenye uume
Unachekesha wewe, huwezi kuona mtu Wa kaskazini mwenye kibamia so kuna siri kwenye kuacha dushe lining'inie. Na kwanini ulibane? Au hujui kuwa kulibana kunaathiri kiwanda?jitahidi kuvaa chupi,usiliache wazi dushe lako linaning`inia tuuu ka mtu wa kaskazini,ndio maana linavimbiana,pia tafuta mwenza,ugwadu utakuua..