Habarini wadau, natumaini weekend inaenda poa.Kuna mwanafunzi wangu kanifuata na kuniomba nimsaidie kutatua tatizo alilonalo. ni hivi,
Ameota vipele vidogo kwenye korodani vilivyoungana vinawasha na vinatoa maji.Je, tatizo ni nini hasa? Na matibabu yake yakoje?