RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,523
Ndugu wajamiiforums, nimekuwa nikifuatilia television moja inayotoa elimu masaa ishirini na nne huku ughaibuni, nikajiuliza hivi kwa nini wizara yetu ya elimu na mafunzo stadi isianzishe television ya elimu itakayo punguza makali ya tatizo la waalimu? Nadiriki kusema hayo kwani huko kijiji nakotoka mimi hali inatisha inatisha wanajamii, watu wanauwezo wa kusoma lakini hawana walimu, nahata hiyo hizo shule za kata nayo ni bahati kuwafikia lakini sasa inshu inabaki walimu, watoto wanaenda shule kucheza na kuongeza miaka tu.
Natambua mchango mkubwa wa starTV lakini bado nao wanapatikana kwa muda mchache sana kwa ajili ya inshu hiyo hivyo inakuwa vigumu kuwapatia wanafunzi kitu kinachotakiwa. Serikali ingeona umuhimu wa television kama starTV kuipa nguvu(ruzuku) ili iachane na mambo mengine ijikite kwenye elimu inchi nzima. Nadhani itakuwa safi na itawanufaisha watanzania wengi, na kufanya hivyo ndani ya miaka kumi ijayo tutakuwa tunazungumza vitu vikubwa kuliko kuzungumzia namna ya kuondoa ujinga kama saizi kitu amabcho kimekuwa wimbo toka mkoloni.
Naomba kuwakilisha hoja wanamii.
Natambua mchango mkubwa wa starTV lakini bado nao wanapatikana kwa muda mchache sana kwa ajili ya inshu hiyo hivyo inakuwa vigumu kuwapatia wanafunzi kitu kinachotakiwa. Serikali ingeona umuhimu wa television kama starTV kuipa nguvu(ruzuku) ili iachane na mambo mengine ijikite kwenye elimu inchi nzima. Nadhani itakuwa safi na itawanufaisha watanzania wengi, na kufanya hivyo ndani ya miaka kumi ijayo tutakuwa tunazungumza vitu vikubwa kuliko kuzungumzia namna ya kuondoa ujinga kama saizi kitu amabcho kimekuwa wimbo toka mkoloni.
Naomba kuwakilisha hoja wanamii.