Mwambie mzee ashambulie dakika 90 mfululizo sio anashambulia wiki moja halaf wiki moja analala. ashambulie period mpaka period. Popote akikuona tu akurukie, jikoni, toilet, garden, juu ya magunia ya kolosho, darini, uvunguni, nakazalika. Kama haujapata mimba ndani ya mwezi mmoja basi nachana vyeti vyangu vyote vya mzumbe.
NB: siku za kupata ujauzito ni chache katika mwezi kama mume ni legelege anashambulia na kupumzika anaweza akawa anazimiss kila mwezi.
Nimemaliza
Hivi ukiona mtu amezaa halafu mwanaume akaitwa kidume cha mbegu unazani ni kwanini? Unahitaji kuwa mnyama ndio ulete mtoto duniani, hili suala ningelilichambua kitaalamu lakini hamtoweza kunielewa, labda Dr Riwa tu ndio ataweza kunielewa. Kwa ufupi hayo maelezo niliotoa ndio solution na niko vere serious.You cant be serious, hawa ni binadamu ati, sio wanyama
hivi ukiona mtu amezaa halaf mwanaume akaitwa kidume cha mbegu unazani ni kwanini? unahitaji kuwa mnyama ndio ulete mtoto duniani, hili suala ningelilichambua kitaalamu lakini hamtoweza kunielewa, labda Dr Riwa tu ndio ataweza kunielewa. kwa ufupi hayo maelezo niliotoa ndio solution na niko vere serious
Tobaaa! Hadi kwenye magunia!Mwambie mzee ashambulie dakika 90 mfululizo sio anashambulia wiki moja halaf wiki moja analala. ashambulie period mpaka period. Popote akikuona tu akurukie, jikoni, toilet, garden, juu ya magunia ya kolosho, darini, uvunguni, nakazalika. Kama haujapata mimba ndani ya mwezi mmoja basi nachana vyeti vyangu vyote vya mzumbe.
NB: siku za kupata ujauzito ni chache katika mwezi kama mume ni legelege anashambulia na kupumzika anaweza akawa anazimiss kila mwezi.<br
Nimemaliza
tobaaa! Hadi kwenye magunia!
Mwambie mzee ashambulie dakika 90 mfululizo sio anashambulia wiki moja halafu wiki moja analala. Ashambulie period mpaka period. Popote akikuona tu akurukie, jikoni, toilet, garden, juu ya magunia ya kolosho, darini, uvunguni, nakazalika. Kama haujapata mimba ndani ya mwezi mmoja basi nachana vyeti vyangu vyote vya mzumbe.
NB: Siku za kupata ujauzito ni chache katika mwezi kama mume ni legelege anashambulia na kupumzika anaweza akawa anazimiss kila mwezi.
Nimemaliza
Hivi ukiona mtu amezaa halaf mwanaume akaitwa kidume cha mbegu unazani ni kwanini? unahitaji kuwa mnyama ndio ulete mtoto duniani, hili suala ningelilichambua kitaalamu lakini hamtoweza kunielewa, labda Dr Riwa tu ndio ataweza kunielewa. kwa ufupi hayo maelezo niliotoa ndio solution na niko vere serious
wazee wetu walitumia mpaka matuta ya viazi in case of emergency ! hii shuhuli haitaki usharobaro bana! siku hizi unaona jibaba sekunde mbili lishalembea risasi, halaf linakwambia "kiuno kimeteguka meeen, nitakutafta tena mwisho wa mwezi meeen!" kulaleki! wee unazani mtu kama huyu ataweza hata kutia mimba panya?
hapa Dr nimeongea kwa hasira kweli
Hahah, Klorokwini, Dr from Mzumbe at work!
Hivi kwa nini unapenda kujeruhi mbavu zangu kila siku? itabidi nikuombee ban walau ya mwezi mmoja ili mbavu zangu ziunge tena, manake kila nikiona post zako navunjika tena hata zile zilizokuwa zimeanza kupona zinavunjika tena!
Kwa kweli hilo hata ye nilitaka kulisema kwenye post yangu, sijui kwa nini nililisahau! in short, naungana na wewe kuwa timing ni muhimu sana, aukukosea timing utahangaika sana na kudhania umerogwa kama ambavyo ameishaanza kujidania. ukishindwa kabisa kutime, basi "shambulia mfululizo"
angalizo
Usichane vyeti vyako, viache uwarithishe vijana, after all havijakukosea kitu hadi uvichane!
Hahahaa, lakini kwa case ya huyu mdada inaweza kuwa kama kweli vile!
We chambua tu, tuko wengi tu tutakaokuelewa, siyo Dr Riwa peke yake!
Duh,
Pole Dr kwa kukwazika!
hehehe Miss Judith bana! unajua kila nikitaka kustaafu ndio wagonjwa wanaongezeka, sasa inabidi nikomae nao tu. Ubarikiwe mpendwa! (source: wewe)
Asante sana kwa maelekezo ya dawa.Vipi hizi dawa zinapatikana wapi?yaani ni wapi naweza kwenda nunua?BIBIE JARIBU DAWA YANGU HII Utasa
Utachukua unga wa Habbat-Sawdaa gramu 25 unga wa uwatu gramu 25 na mbegu ya figili gramu 25 , atakula kijiko kimoja asubuhi na jioni ilihali imekorogwa katika nusu kikombe cha Asali safi mbichi ya nyuki, baadae utakunywa kikombe kikubwa cha maziwa ya ngamia; basi inshaAllaah itakuwa kheri.