Pole Mpendwa dada, wakati mwingine hutegemea na mzunguko wengine wanamzunguko mfupi, na wengine mrefu hivyo inaweza ikakuta wewe unamzunguko mfupi ambao siku zako za hedhi ndizo siku za kupata mimba jaribu kuwasiliana na madaktari kwa hilo, ingawa inakuwa hujisikii sana kukutana na mwenzi wako kipindi hicho.
Ongea na daktari mueleze kuhusu mzunguko wako wa hedhi, akusaidie kwani kuna shemeji yangu naye alikuwa na hilo tatizo, yaani mke wa mdogo wangu, Mungu aliwajaalia walipata mtoto kwa njia hiyo, yani ya kukutana kipindi cha hedhi. Angalia siku ya kwanza ya hedhi esabu siku moja na siku ya mwisho kabla ya siku unayopata hedhi ndipo mzunguko wako ulivyo kama sikosei ingawa si mtaalamu sana.
Kingine unaweza kuesabu siku kumi toka umeanza hedhi kama siku ya kwanza hizo pia huwezi pata mimba mpaka siku ya kuminamoja mpaka ishirini hapo mkikutana namwenzi wako pasipo kupumzika lazima mimba ikamate kama unamzunguko mrefu au hujafuatilia.
Toka hedhi kama siku ya kwanza mpaka ya kumi (free huwezi pata ujauzito ni bahati sana) ila siku ya kumi na moja toka hedhi mpaka ishirini bila kupumzika hapo lazima. Pia jitahidini kula vizuri, msitumie vilevi vikali, hakikisha mmeo anapata mlo mzuri na muda wa kupumzika.
ASANTE