Tatizo la watoto kuanzia siku 0 mpaka wakati wa balehe kutosimamisha uume

Tatizo la watoto kuanzia siku 0 mpaka wakati wa balehe kutosimamisha uume

Joined
Nov 19, 2024
Posts
94
Reaction score
307
Wakuu salama?

Katika pitapita zangu mitandaoni nimekuwa nikikutana na mada baadhi ya wazazi na walezi wakiulizia tatizo na tiba ya watoto kutosimamisha uume, hivyo nimeamua kuja na maswali kwa wataalam ili waweze kutusaidia.

Baadhi ya mada soma

Baadhi ya maswali ambayo wazazi tungepata ufafanuzi

1. Umri gani watoto wa kiume wanapaswa kuanza kuonesha dalili za kusimamisha uume?
2. Mambo gani yanasababisha mtoto wa kiume kushindwa kusimamisha uume?
3. Kuna dalili nyingine ninazopaswa kuangaliwa ambazo zinaweza kuonesha tatizo kubwa zaidi?
4. Lishe ya mtoto inaweza kuwa na uhusiano na tatizo hili?
5. Hali hii inaweza kusababisha matatizo ya muda mrefu katika afya ya uzazi wa mtoto?
6. Tatizo hili linaweza kuwa la kurithi kwenye ukoo?

Matibabu
Ikiwa mtoto atakuwa na tatizo hili, hatua gani za kimatibabu zichukuliwe haraka ili kumsaidia tokea hatua ya awali?

Asanteni
 
Mimi nnavyojua iko hivi ikiwa siku kitovu cha mtoto kikikatika na kudondokea uume wa mtoto basi shida inaanzia hapo
Tiba yake ni mama yake mzazi anaamka asubuhi anachukua uume wa mtoto na kuurengesha kwenye tupu yake hapo tiba inakuwa imekamilika ni vizuri ifanyike mtoto akiwa bado mdogo hajajitambua na ikitokea mzazi kajisahau mtoto kawa mkubwa itabidi mama mzazi siku moja akiwa chumbani kwake avue nguo zote alafu anamuita yule mtoto fulani njoo ile mtoto anaingia na kumwona mamake akiwa uchi atastuka akistuka tu ndo kapona hivyo tyr
Ili kuepuka yote hayo mzazi hakikisha kabla mtoto kitovu hakijakatika basi uwe unamstiri uume wake kwa kumfunga nepi kila mara ili ikitokea amelala kitovu kikakatika basi kisiguse uume wa mtoto
 
Back
Top Bottom