Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,345
- 10,885
Salaam wana JF!
Kuna hili tatizo ambalo nimeliona katika jamii yetu (humu JF) na kwenye mitandao mingine ya kijamii. Nalo ni la kuchanganya matumizi ya maneno 'lose' na 'loose'. Haya maneno ya kiingereza yamekuwa yakitumika sivyo. Haswa kwa watu wengine kutumia neno 'loose' pale neno 'lose' linapaswa kutumika!
Labda nitoe maana ya maneno hayo kama yanavyoelezwa kwenye kamusi ya kiingereza ya mtandaoni (WordWeb):
A. Loose: |loos|
1. Kama adjective:
a. not tight; not closely constrained, constricted or constricting.
b. Not compact or dense in structure or arrangement.
c. Not affixed
d. Not carefully arranged in a package.
2. Kama verb ( ina maana ya 'Make less tight or stiff').
3. Kama adverb (ina maana ya 'without restraint).
B. Lose, |looz| hili neno lipo kama verb tu.
a. Fail to keep or to maintain; cease to have, either physically or in an abstract sense.
b. Fail to win.
c. Suffer the loss of a person through death or removal.
d. Miss from one's possessions.
e. Allow to go out of sight.
f. Fail to make money in a business; make a loss or fail to profit.
g. Fail to get or obtain.
Kwa hayo machache naamini tunaweza kuwa makini katika kutumia haya maneno!
Wasalaam.
Kuna hili tatizo ambalo nimeliona katika jamii yetu (humu JF) na kwenye mitandao mingine ya kijamii. Nalo ni la kuchanganya matumizi ya maneno 'lose' na 'loose'. Haya maneno ya kiingereza yamekuwa yakitumika sivyo. Haswa kwa watu wengine kutumia neno 'loose' pale neno 'lose' linapaswa kutumika!
Labda nitoe maana ya maneno hayo kama yanavyoelezwa kwenye kamusi ya kiingereza ya mtandaoni (WordWeb):
A. Loose: |loos|
1. Kama adjective:
a. not tight; not closely constrained, constricted or constricting.
b. Not compact or dense in structure or arrangement.
c. Not affixed
d. Not carefully arranged in a package.
2. Kama verb ( ina maana ya 'Make less tight or stiff').
3. Kama adverb (ina maana ya 'without restraint).
B. Lose, |looz| hili neno lipo kama verb tu.
a. Fail to keep or to maintain; cease to have, either physically or in an abstract sense.
b. Fail to win.
c. Suffer the loss of a person through death or removal.
d. Miss from one's possessions.
e. Allow to go out of sight.
f. Fail to make money in a business; make a loss or fail to profit.
g. Fail to get or obtain.
Kwa hayo machache naamini tunaweza kuwa makini katika kutumia haya maneno!
Wasalaam.