danali
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 1,135
- 1,674
Seriously hili tatizo kubwa linalonisumbua usiku na mchana
Ikufika taim ya kulala kuupata usingizi ni vita kwa kweli na nikishtuka usiku kazi ni ile ile
Sometimes ni tatizo dogo tu ila litakaa kichwani mwangu na kuliwaza sana na hata nikijarubu kupotezea hua nashindwa
Hii inasababisha hata kuniathiri katika shughuli zangu za kawaida
Najaribu kujichanganya na watu ila nikiondoka tu kijiwe hua sina raha tena
Athari ninazohisi zinanisibu
**kupoteza kumbukumbu marakwamara
**kichwa kuuma nafkiri kwa kukosa mda mzuri wa kulala
** mwili wangu unadhoof
** Shughuli zangu haziendi sawa kazini bahati nzuri boss wangu muelewa na anjua nini kinanisibu
Wanajamvi najua wapo watu wamepitia haya au wanajua ni nini Namna ya kufanya ili hali ikae sawa
Naomba ushaur
Ikufika taim ya kulala kuupata usingizi ni vita kwa kweli na nikishtuka usiku kazi ni ile ile
Sometimes ni tatizo dogo tu ila litakaa kichwani mwangu na kuliwaza sana na hata nikijarubu kupotezea hua nashindwa
Hii inasababisha hata kuniathiri katika shughuli zangu za kawaida
Najaribu kujichanganya na watu ila nikiondoka tu kijiwe hua sina raha tena
Athari ninazohisi zinanisibu
**kupoteza kumbukumbu marakwamara
**kichwa kuuma nafkiri kwa kukosa mda mzuri wa kulala
** mwili wangu unadhoof
** Shughuli zangu haziendi sawa kazini bahati nzuri boss wangu muelewa na anjua nini kinanisibu
Wanajamvi najua wapo watu wamepitia haya au wanajua ni nini Namna ya kufanya ili hali ikae sawa
Naomba ushaur