Tatizo Liko Wapi (Msaada tadhali)

JOHN-2030

Member
Joined
Jan 15, 2018
Posts
14
Reaction score
6
Ninahisi ninaungua Kwenye Mashavu, Mabegani, na kichwani usawa wa Utosi. Wakati Mwingine vichomi vinanichoma kichwani. Sijajua tatizo liko wapi. Nimekunywa dawa sana ila bado tatizo linajirudia.
 
Tatizo umekunywa dawa na hata hatujui ni dawa gani na uliipataje

Maelezo yako ni ya awali sana nenda hospital utapata huduma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…