J JOHN-2030 Member Joined Jan 15, 2018 Posts 14 Reaction score 6 Apr 24, 2018 #1 Ninahisi ninaungua Kwenye Mashavu, Mabegani, na kichwani usawa wa Utosi. Wakati Mwingine vichomi vinanichoma kichwani. Sijajua tatizo liko wapi. Nimekunywa dawa sana ila bado tatizo linajirudia.
Ninahisi ninaungua Kwenye Mashavu, Mabegani, na kichwani usawa wa Utosi. Wakati Mwingine vichomi vinanichoma kichwani. Sijajua tatizo liko wapi. Nimekunywa dawa sana ila bado tatizo linajirudia.
Nkolandoto JF-Expert Member Joined Sep 18, 2016 Posts 4,102 Reaction score 4,028 Apr 25, 2018 #2 Tatizo umekunywa dawa na hata hatujui ni dawa gani na uliipataje Maelezo yako ni ya awali sana nenda hospital utapata huduma
Tatizo umekunywa dawa na hata hatujui ni dawa gani na uliipataje Maelezo yako ni ya awali sana nenda hospital utapata huduma