Masangutu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 751
- 559
Habari zenu wanaJF hope niwazima,naamini umeshakutana na hii concept kwamba ili upate fedha, utajiri, mafanikio lazima ugundue tatizo katika jamii na ulipatie suluhisho. Maana yake nikuwa ukiweza kutafutia ufumbuzi wa tatizo linalowakabili watu basi utakuwa umepata fursa nzuri ya kutengeneza pesa.
Nakuuliza wewe unadhani ni tatizo gani kwa sasa likipatiwa ufumbuzi wake itakuwa ni fursa ya kupiga hela?
Karibu
Nakuuliza wewe unadhani ni tatizo gani kwa sasa likipatiwa ufumbuzi wake itakuwa ni fursa ya kupiga hela?
Karibu