KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Imagine tangu jana tarehe 08/09 hatuna meli hata moja. Kama leo wala hata sijisumbui kwenda. Taarifa zinasema kuna moja itaingia usiku tarehe 09/09/ ... haijwahi kutokea hii tangu niingie bandarini miaka 26 iliyopita!!
Nakumbuka usemi wa Mh JK "Acha lipasuke tugawane mbao"
Nakumbuka usemi wa Mh JK "Acha lipasuke tugawane mbao"