Babu Msomali
JF-Expert Member
- Mar 4, 2016
- 265
- 785
Msaada tutani..<br />Nina Laptop yangu Dell N series. <br />Ukiiwasha na ku click au hata kuselect icon yoyote kwenye desktop au hata kwenye folder tu inaleta ile msg km nataka ni idelete.(are you sure you want to send this folder to recycle bin?.na italeta huo ujumbe zaidi ya mara 100 as if nimehold ile button ya delete. nimejaribu hata kuchomoa ile button ya delete ila bado tatizo linaendelea.. msaada hapo wakuu..Sorry mkuu em nikumbushe Tena aiseee
Pirate
Nashukuru sana mkuuOK simply solution inawzekana ikawa ni CPU Inafanya over-heat (inapata joto) kupitiliza, so cha kufanya mpelekee huyo fundi labda aweke CPU cooler paste inaweza ikasaidia,
Or
Inawzekana pia motherboard sio compatible ni CPU aloiweka
Pirate
Je, kupunguza mwanga?pc yangu ni Toshiba window 7.OK njia rahisi ni RIGHT CLICK, kwenye battery icon then Kuna options mbili we chagua adjust brightness then hapo unaweza kuongeza na kupunguza mwanga, hope itakusaidia!
NB:for windows based laptops only!
Pirate
Maybe naweza kukushauri hivDell latitude E5400 imeacha kuchaji ghsfla tu haiingizi umeme hata kidogo lakini inawaka vizuri tu. Nimejarubu kubadili adapta lakin haisaidii
Tatizo lilianza kwanza kwa cursor kukwama kwama nikiweka chaji , baadae nikabadili window kutoka window 8 kwenda 7, nikatumia dakika kafhaa then ikaanza tatizo
Mwenye idea plz!!
Yan uwa inakutokea wakat wa kuselect tu folder au??Msaada tutani..<br />Nina Laptop yangu Dell N series. <br />Ukiiwasha na ku click au hata kuselect icon yoyote kwenye desktop au hata kwenye folder tu inaleta ile msg km nataka ni idelete.(are you sure you want to send this folder to recycle bin?.na italeta huo ujumbe zaidi ya mara 100 as if nimehold ile button ya delete. nimejaribu hata kuchomoa ile button ya delete ila bado tatizo linaendelea.. msaada hapo wakuu..
Hiyo ndo ilikua tatizo langu..
nimetoa battery nakuunganisha adapter lakin badoMaybe naweza kukushauri hiv
# 1
Toa betry alafu weka charg itumie bila betry uone kama inawaka, kama ikifanya hivyo bas inawezekana betry inashida
# 2
Jarbu kumpelekea fundi achek motherboard au hata ww ukiweza uangalie kama Kuna short labda
Pirate
Em jarbu kusoma maelekezo hapa Kisha ujarb kama utawezanimetoa battery nakuunganisha adapter lakin bado
nimeifungua pc ndan ila sijui namna ya kuangala shot kwenye motherboard
Cheki ram mkuu kwanza kama unaweza fungua then jarbu kuzitoa Kisha urudishe uone kama kutakuwa na mabadilikoMkuu Pirate natumia HP probook 4530s Imegoma kuwasha display! Yani Pc inawaka hadi feni naisikia inaunguruma but Display haitoi hata mwanga, Tatizo limetokea ghafla tuu PC sijaiangusha au kuifanyia kitu chochote tatizo tu limetokea ghafla....
Natanguliza shukrani
Cc: Pirate
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kiongozi nimefanikiwa kuirudisha katika hali yake. Ubarikiwe sanaIchomeke hard disk, then nenda kwenye start type disk management; select"create and format hard disk parititions' hapo utaiona hard disk yako na unallocated space;ukiiright click hiyo unallocated space utapata option ya kutengeneza new partition
Mkuu pirate mambo vipi?Habari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae Ana tatito na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu(zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya
Karibuni sana wakuu
Pirate
poapoa nasubiriMkuu nakumbuka naendelea kuangalia solution nikipata soon nakujibu
Pirate
Unataka kuifunga iwe operating au unataka iwe externally tu?Mkuu pirate mambo vipi?
Naomba kujua kitu mashine yangu ni hp core 2 duo na ina ram ya gb 8 na hard disk za gb 3000 in total sasa nataka kuongeza hard disk ya 3 Tb lakini haisomi japo nimeambiwa nzima. Je mashine kwa kawaida huwa ina limits katika hard disk???
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks brother! So hapa ni kuformat tu?OK nimekupata mkuu naweza nikasema labda
Windows yako imekuwa corrupted kwasabab had unafika sehem baadhi ya origin apps zinagoma bas inawzekana virus wameshambulia sana na sasa wamebakiza tu kuimalizia system, so by anytime unaweza ukaona pc yako ika shut down yenyew na ukitaka kuwasha inakugomea
So simple solution jarbu kufanya repair ya system yako yote or kama ulishawah kufanya creation point yoyote bas restore itarud vizur tu
# # #
Hopefully it'll help you out
Pirate
Thanks once again. Restore na repair zilinigomea. Hapo cn ujanja zaid ya 3rd optionJarbu kufanya
# 1 restore
Or
#2 repair
Or
# 3 format
Pirate
OK brother, that's is your last option then!Thanks once again. Restore na repair zilinigomea. Hapo cn ujanja zaid ya 3rd option
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks, nitakupa mrejeshoOK brother, that's is your last option then!
Pirate