rama halavi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2015
- 269
- 236
Nataka niifanye ya kuhifadhia movies and seriesUnataka kuifunga iwe operating au unataka iwe externally tu?
Pirate
Mkuu Ram nishazitoa sana na kuzirudisha lakini bado screen haiwaki! Na huo mchezo wa kutoa Ram nilikuwa naufanya mda mrefu tuu ilikuwa inawaka halafu inaleta error message sasa ukitoa ram 1 inapiga kazi fredh coz PC yangu ina ram 2 sasa safari hii hata ukitoa ram hakuna kinachoendeleaCheki ram mkuu kwanza kama unaweza fungua then jarbu kuzitoa Kisha urudishe uone kama kutakuwa na mabadiliko
Pirate
Then itakuwa ni hardware problem, sana kutokea kwenye motherboard mkuuMkuu Ram nishazitoa sana na kuzirudisha lakini bado screen haiwaki! Na huo mchezo wa kutoa Ram nilikuwa naufanya mda mrefu tuu ilikuwa inawaka halafu inaleta error message sasa ukitoa ram 1 inapiga kazi fredh coz PC yangu ina ram 2 sasa safari hii hata ukitoa ram hakuna kinachoendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata kkoo ni sawa tu ili mradi kama una mawasiliano nao unisaidieUna maanisha kkoo!!??
Pirate
Two possibilities problemKuna laltop HP inasumbua kuingiza chaji mda mwingine inaingiza lakin kama baada ya saa1 hv inaacha tatizo nini msaada tafadhali
Nataka niifunge ndaniBut external au utaifunga ndani pia??
Pirate
window 8.1 Pro Build 9600Activate kwa kutumia KMS Auto au activator yoyote kwanza Kisha ndio update
Or nitajie ni windows 8.1 ipi nijarb kuangalia kama nnazo key
Pirate
kuna term ambazo unaziongea hata sizijui km nilivyokuelezea mwanzo window nimefanya kuwekewa. kpnd hiki ndo inaniandikia window outdated, update your window inter keys? ?? ndo hivyo tu boss wngUmetumia kms mkuu?
Pirate
Poa poaTwo possibilities problem
# 1 battery
# 2 power charger
Kama battery inaweza ikawa inaanza kufa so kama upo vizur kanunue jipya
Kama charger inawezekana ikawa Ina tatizo kwenye upande wa kufanya converting AC to DC so take precautions kwa Hilo mapema
Pirate
kuna term ambazo unaziongea hata sizijui km nilivyokuelezea mwanzo window nimefanya kuwekewa. kpnd hiki ndo inaniandikia window outdated, update your window inter keys? ?? ndo hivyo tu boss wng
Sent using Jamii Forums mobile app