Tatizo lolote la PC/device

Mimi nna tatizo la kifurushi. Toka miaka mingi ni.ekuwa natumia simu kama modem lakini kama wiki mbili zilizopita nikiunga net kwenye laptop kwa kutumia simu gb inaisha hata dakika kumi nyingi.
Nimefatilia kama window inaupdate nkakuta hakuna. Nimepiga voda customercare wakaahidi kulitatua hola, nimeenda mwenyewe vodashop lakini bado tatizo linaendelea. Kuna siku juzi nilikiwa naupload kitabu cha mb 14 ili kitoke pdf kuwa word na kukidownload kikiwa na mb 24 nilitumia gb 1.4 kwa sh 3,000. Kwa kweli hii hali inantia hasara, nifanyeje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaweza kusumbua kusoma kwasabab performance ya pc yako si compatible sana naona na ext

Pirate
Mkuu nisaidie,natumia simu galaxy Note 4,nimeweka.line ya Halotel,sasa nataka nibadilishe line niweke Airtel au Tigo. Tatizo nikiweka hiyo airtel au tigo simu ina drain battery faster sana. Hata kama chaji iko 100%nikiweka hizo line ndani ya dk 10 inanyonya chaji na ikifika 40% inazima kabisa. Ukiunganisha kwenye chaji inaanza kuchaji from 40%kwenda juu,ukiwasha chaji inaanza kushuka tena mpaka nitoe hiyo line husika nirudishe halotel. Ni nini inaweza kuwa tatizo?
 
Unatumia kama hot spots center au unatumia USB tethering??

Pirate
 
Mmh I'm not sure mkuu em ngoja waje wengine tufanye sharing ya mawazo

Pirate
 
Mkuu pirate hii desktop itakua tatizo ni nini!? Haitoi sauti mpaka uconnect na external speakers au earphone. Kwenye icon ya speaker inakua X..

Ni desktop ya Hp, window 7.
 
Natumia hotspot centre

Sent using Jamii Forums mobile app
Possibility kubwa em fanya setting upya na hiyo wireless name na password, ** namaanisha badilisha na labda utumie peke ako kwanza kama ulikuwa unatumia na watu wengine,

# # #
Ukiona bado njoo Tena nipe report nikuelekeze njia nyingne mkuu

Pirate
 
Mkuu pc laptop inapata joto sana hadi kuzima
Cooling system problem!

Cha kufanya kama una utaalamu wa kufunga bas fungua Kisha safisha kila sehem sana kwenye fan ambapo ndio inabid ifanye Kaz ya kupooza isipate moto,

Cheki fan yako kama inafanya Kaz vizur kama unaona Ina itilafu Kuna baadhi ya watu wanaweza kukutengenezea hiyo hiyo au kama vip nunua mpya ufunge Kisha ussahau kuweka cooling paste kwenye CPU kwa juu au mafund pia wanafanya ukiwaambia

Pirate
 
Mkuu pirate hii desktop itakua tatizo ni nini!? Haitoi sauti mpaka uconnect na external speakers au earphone. Kwenye icon ya speaker inakua X..

Ni desktop ya Hp, window 7.
Tatizo ni playback device imekuwa disabled, cha kufanya right click kwenye hiyo volume icon Kisha uende sehem iloandikwa playback device Kisha enable speakers

Pirate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…