Tatizo lolote la PC/device

Yeah hilo tatizo linasababisha na hiyo window haijawa activated.

Nakushauri utafute activator ya window 10 kisha activate tatizo lako litatibika.

Au pakua Daz Loader activator for window 10 au activator yoyote ile zipo google for free
Wakuu,
Naomba msaada pc yangu imekuwa slow Sana, Ile cursor kuisogeza ni kazi mno, ina load Sana kufuangua file utakalo click.Ukiwasha pale HOME inakuandikia activate windows.

Msaada tafadhali.Ni dell,ina windows 10
 
Azima pc za watu kisha downaload na hamishia kwenye flash then zima pc yako kisha washa na chomeka hiyo flash ukifika kwenye boot utaletewa option na utamaliza mchezo.

Maana katika hizi password kuna Bios password na window password.

Pia kuna software inaitwa window password unlocking enterprise hii nayo ni nzuri sana na kuondoa hizo password ni njia ya kureboot kisha unachomeka flash au CD yenye hiyo software
Sasa utàdownload vipi wakati pc bila kuendelea na process nyingine haikubali?
 
Kagua hiyo connection kama ipo correctly configured maana inawezekana haijakaa vizuri so inavutana
 
Ahsante sana
 
Kama unaweza ipeleke kwa Fundi akuchekie video card labda ndio source ya matatizo yotte.

Je uwa unacheza video games , kama uwa unacheza uwa azigandi gandi?
Apo hard disk cio nzima probably!
 
Wakuu nina pc hp probook 6370b, tatizo lake ni kustaki mara kwa mara, ukifungua file inaandika "not responding" na kama kulikuwa na program inaendelea kama muziki/ muvie itastop then baada ya muda kidogo inarespond kama kawaida, nimejaribu kucheki naona ziko sawa, nimebadili windows mara kadhaa lakini bado, tatizo linaweza kuwa linasababishwa na nini wakuu
 
wakuu pc yangu nilikuja tu nikawasha nikaplya music mara nikashangaa video zinaplay kwa kuscrach nikasema nirefresh mara kadhaa ila wap...nakasema nirestart ikawaka ila mpaka kuja kufika kwenye kuweka pasword ilikaa kama dk 10...nikaweka paswod ikafunguka nakaplay tena tatizo likawa pale pale nikasema nirestart tena mara ikachukua nusu saa mpaka kuja kuwaka baadae ikawa ndo aifunguki kabisa inaonesha mwanga tu...nikasema ni window nimepiga window zote ikifika kwenye kuisntall window inaesabu taratibu sana kwa mfano 1% inaweza kaa nusu saa mpaka lisaa...mara inasebu ikifika maali istop kabisa....mpaka sasa nimeiweka tu sijajua tatizo ni nn....pc ni dell inspiron....hdd 500 Ram 2.1ghz...msaada wakuu
 
Kuna Possibility kubwa sana kuwa harddisk yako imekufa
 
Ni either mashine yako ina overheat na kusababisha proceessor ku- slowdown au hdd imekufa...jaribu kushughulikia cooling kwenye mashine yake though sometimes processor ikichoka pia hasa kwa baadhi ya probook na sony mambo hayo hutokea
 
Salaam wakuuI
Same nipo kwa field hii (ICT) kwa aka zaidi ya tano,ka kuna la kushare nipo imara kwa hili humu kama mtaani nipo Kigamboni Maweni kwa Ofisi yaitwa "Vuguvugu" na more na whatsapp kwa Tigo ya "Sifuri Sita Tano Sita Sita Sifuri Sita Sita Mbili Saba"
 
Mkuu wewe ni mkenya au mkongo
 
Ni either mashine yako ina overheat na kusababisha proceessor ku- slowdown au hdd imekufa...jaribu kushughulikia cooling kwenye mashine yake though sometimes processor ikichoka pia hasa kwa baadhi ya probook na sony mambo hayo hutokea
Asante mkuu ngoja nishughulikie hiki
 
Display ya PC imechora mstari inaonyesha nusu,upande wa kulia, shida ni nini na je gharama za matengenezo zikoje
 
Mwenye laptop yoyote iwe core i7 na hdd kuanzia 500 ani pm kwa biashara, dar es salaam
 
Pc yangu nikiunganisha intanet inakula mb sana, yaan gb1 inakwisha ndani ya dk1. Tatizo nini wajuzi?

Kama unatumia window 10 yenyewe inatabia ya kufanya updates automatically pale inapokutana na Internet..
Hapo inafanya updates ya kila kitu kila drivers ndio mana inakula sana mb zako..
Solution hapo nenda kwenye updating setting ukaset iwe ina update kwa muda gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…