Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Kama ni laptop ishu kubwa inakuwaga invertor ambayo hiyo ipo kwenye laptop za zaman, ila kwa msaada zaidi ungenielezea ni pc gani, pamoja na model yake kabisa
Hiyo inatatixo la mkanda , km sio mkanda ni zile led light za kioo zimeungua tafuta kioo kingine kifumue badili inarudi kwenye hali yake
Sent using i phone x
Mkuu naomba msaada ninatumia PC aina ya ACER..hii machine shida yake ni kuwa keyboard system imekaa hovyo, yaani haileti mpangilio wa kawaida, kwenye keypad Z nikibonyeza inatokea Y, na nikibonyeza Y inatokea Z na keyboard number 1 hadi 10 hazifunction kabisa na zile alama kama + = ,.'] - ziko in long keypads...nimejaribu kuchungulia YOUTUBE lakini hola naomba msaada tafadhali...Habari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae ana tatizo na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE linalohusiana na computer, simu (zaidi smartphone) au devices zozote ambazo zinahusiana na teknolojia mpya.
Karibuni sana wakuu
Pirate
Daaaah hiii kitu rahisi sana Mkuu.Mkuu naomba msaada ninatumia PC aina ya ACER..hii machine shida yake ni kuwa keyboard system imekaa hovyo, yaani haileti mpangilio wa kawaida, kwenye keypad Z nikibonyeza inatokea Y, na nikibonyeza Y inatokea Z na keyboard number 1 hadi 10 hazifunction kabisa na zile alama kama + = ,.'] - ziko in long keypads...nimejaribu kuchungulia YOUTUBE lakini hola naomba msaada tafadhali...
Habari za muda huu? Naomba kuuliza, inawezekana kubadili internal hard disk kwa laptop zinazotumia SSD hard drive?
Masaada computer yangu imezima ghafla ina heat Sana indicator ya charge inawaka ukiweka chaji ila ukiiwasha haiwaki kabisa hakuna indicator yyte ni Acer laptop Aspire E1-11
Tafadhali kama kuna fundi mzuri anisadie !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu HSDPA modem yangu hai connect na imepoteza uwezo hata wa kutuma text, kupiga simu au kuruhusu the incomming call kama ilivyokuwa inafanya mwanzo... mwanzo ilikuwa innaconnect lin zota baadae ikawa inaconnect tigo tu nikafuta file lake na nika unstall nilipo restall fail haikurudi na hapo ndo ikawa hai connect mazima... now ukicconnect inaweka dial failed:618 au dial failed:638 na 628 wakati mwingine... naomba kuwasilisha.
pc imepigwa shoti
ila ukichomeka chaji taa za pembeni zinawaka
ila ukiiwasha haiwaki pc
tatizo nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua ku enable hidden files mkuu, ni windows gani hio? Tungeanza hapa pa kuangalia files zilizofichwa.Wakuu nisaidieni hapa, Nina laptop ina partition mbili, moja ina window na nyingine ina staff zangu.
Hii yenye staff zangu inaonesha kabisa ina file zenye size flani, ila ukiclick kuifungua inasema iko empty (kwa maana haina chochote)
nahisi ni mdudu virus, nimejaribu njia tofauti kumuondoa lakini wapi.
Picha ya kwanza hapa chini, inaonesha kabla sijaclick kuifungua
View attachment 1333149
Picha hii ya pili ikiwa imefungulia
View attachment 1333150
Msaada wakuu nina shida sana na file zangu
Cc: Chief-Mkwawa kcamp et all