Kupitia bios imeleta hv mkuuAlternative angalia kupitia bios. Cheki network card ni ya aina gani na kama ina Bluetooth.
Hio sio bios. Bios ni ile Unazima pc ukiwasha unaambiwa ubonyeze f2 ama F10 ama F12 kutegemea na pc then inawaka upande mwengine tofauti na windows.Kupitia bios imeleta hv mkuu
View attachment 2001910
Desktop ya Dell? Ina speaker ndani?Natafuta sound driver ya window 7 professional
Mashine in GX620, nimetafuta mtandao nimechemka kabisa msaada wakuu
Mkuu sorry for late replies,,,Hio sio bios. Bios ni ile Unazima pc ukiwasha unaambiwa ubonyeze f2 ama F10 ama F12 kutegemea na pc then inawaka upande mwengine tofauti na windows.
Nenda tab nyengine hapo ni order tu ya kubootMkuu sorry for late replies,,,
Nmeingia kwny bios sehem nlokutana na neno network adapters ni hii tu na hakuna maelezo ya ziada,, je kuna namna nyngne ya kuangalia hzo network adapter hapa kwny bios?View attachment 2001964
Sorry niende tab ipi specifically mana kuna tab 4 hapa.Nenda tab nyengine hapo ni order tu ya kuboot
Bios na bios hutofautiana hazifanani ila angalia kwenye system configuration hapo, kama kuna Bluetooth ipo disabled utaitick kuifanya iwe on.Sorry niende tab ipi specifically mana kuna tab 4 hapa.
1.main security tab
2.diagnostic tab
3.system configuration tab
4.exit tab
Sawa sawaBios na bios hutofautiana hazifanani ila angalia kwenye system configuration hapo, kama kuna Bluetooth ipo disabled utaitick kuifanya iwe on.
Pengine hardware haipo mkuu, upgrade network cardSawa sawa
Nmepitia Tab zote, mstari mmoja baada ya mwngne, sjaona popote palipoandikwa bluetooth mkuu
How do i upgrade it mkuu?Pengine hardware haipo mkuu, upgrade network card
Most of time unabadili hio network card, Bluetooth na wifi zinakaa chip moja.How do i upgrade it mkuu?
Asante mkuu vp hii network card hapa k.koo& machinga complex naweza pata kwa bei gani?Most of time unabadili hio network card, Bluetooth na wifi zinakaa chip moja.
Kinakuwa kama kiram kidogo
View attachment 2002110
Laptop nyingi ukifungua tu nyuma unakuta juu pale ipo.
Ngumu kupata unless fundi anaichomoa kwenye laptop mbovu.Asante mkuu vp hii network card hapa k.koo& machinga complex naweza pata kwa bei gani?
Ok thanks kwa hyo kiufupi ni kwamba hii PC haina uwezo wa kuconnect BluetoothNgumu kupata unless fundi anaichomoa kwenye laptop mbovu.
Bei around 30k
Mkuu kesho naenda karia koo nipo Dar saivi kwahiyo nimepata hiyo laptop yenye i3 1005g1 sasa naambiwa ni brand new na mimi sijui kama nikitaka kuingizwa cha kike ni dakika tu, sasa nitatambuaje kama laptop ni Used au Refurbished wakati wa kuikagua?Ngumu kupata unless fundi anaichomoa kwenye laptop mbovu.
Bei around 30k
Mkuu natafta battery ya laptop yangu lenovo thinkpad T420Ngumu kupata unless fundi anaichomoa kwenye laptop mbovu.
Bei around 30k