Tatizo lolote la PC/device

Mkuu deki yangu imezima gafla na hapa nimeifungua ila moto unapita fresh.. sijui nifanye nini tena
 
disable touchpad, angalia hapo kwenye fn kuna shortcut ya kudisable


ama alternative nenda setting kisha device kisha touchpad iweke off.

Mkuu heshima yako, kuna PC hapa imeletwa toka Japan.
Haina HDD ina mwanzoni wakati napiga Windows 10 HDD ikawa inasoma 29.1 nikaitumia then nikaja kuipiga tena Windows 10 hapo ndio kisanga kikaanza.
Ukifika step ya kuchagua partition inaandika YOU CAN'T CREATE PARTITION IN THIS UNALLOCATED DISK.

NIkajaribu kununua HDD mpya aisee inatakiwa Hdd Cable ili niweze kuconnect na motherbody.

Pc ni Dell Inspirion
 
Kama storage ni Unlocated ina maana haijakuwa assigned drive mfano local disk C ama D etc. Kama computer inawaka una assign tu si kazi.

Hio sio ssd ndio maana ina gb chache hivyo? Jaribu kuitoa tafuta adapter ya External ku assign hio drive.

Alternative fanya clean installation futa kila kitu.
 
habari zenu wakuu
PC yangu ni dell vostro, shida yake ni
pale ninapoiwasha haifiki kwenye kudisplay content zile za bios na kuanzia window,nilidhawahi kupeleka kwa fundi akaitengeneza nikamuuliza shida ilikuwa nn akawa anazunguka zunguka mwisho akasema ni bios kabadili so nimetumia tatizo limerudi tena nahitaji msaada....
 



 


Bei ya hiki kifaa ipoje mkuu?
 
NIMEANGALIA hii video mkuu

1. huo mkanda nimeuona, the way ulivyo vyema tembelea machinga complex ama likoma/aggrey kkoo utafute laptop mbovu mbovu uchomoe, sina uhakika kama spare zipo madukani.

2. alternative mlango wa cd nao ni Sata waweza weka HDD kwenye mlango wa Cd case zipo kibao mitaani.
 

Haina mlango wa CD mzee
 
Habari wakuu

Naombeni msaada wenu

Pc yangu inatumia data nyingi kupita kiasi. Ina window ten pro.

Nimejaribu kusolve kwa njia nyingi zinazooneshwa na google lkn sijafanikisha.

Saidia hapa
 
Habari wakuu

Naombeni msaada wenu

Pc yangu inatumia data nyingi kupita kiasi. Ina window ten pro.

Nimejaribu kusolve kwa njia nyingi zinazooneshwa na google lkn sijafanikisha.

Saidia hapa
Kwa nn usitumie windows zngne kama window 8 au 8.1?
 
Habari wakuu

Naombeni msaada wenu

Pc yangu inatumia data nyingi kupita kiasi. Ina window ten pro.

Nimejaribu kusolve kwa njia nyingi zinazooneshwa na google lkn sijafanikisha.

Saidia hapa

Umetumia njia zipi kuzuia data zisiwe kubwa??
Na je matumizi yako ya data yapoje?
Na unatumia mtandao gani kupata data connection?
 
Umetumia njia zipi kuzuia data zisiwe kubwa??
Na je matumizi yako ya data yapoje?
Na unatumia mtandao gani kupata data connection?
Nimefanya hivi;

1.Nimezuia background apps zote zisitumie data.

2. Nimeset metered connection

3. Nimeweka data limit per day ( lakini data nazotumia kwny simu kwa wiki, hazitoshi kwenye PC kwa masaa 2 wakati kazi nazofanya ni zilezile)

Natumia mtandao wa Tigo
 
Kwa nn usitumie windows zngne kama window 8 au 8.1?
Asante kiongozi.

Nafikiri kama kuna settings za kuzuia hili nizifanye. Naona kubadili window ni last option maana inaitaji muda zaidi, sina hio window 8.1 na muda wa kutosha.

Asnte
 

Sasa mkuu unjaniambia bundle lako ni GB ngap or MB unavyotumia?,
Na kumbuka kama 4g pia bandwidth yake ni kubwa so na ulaji wa data ni mkubwa kidogo lakin pia umejaribu kuzuia Automatic Updates pia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…