City hunter j
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 926
- 380
Heshima zenu ndugu..
Kwa jina naitwa Amani.megraduate mwaka jana Bachelor of Accounting..Changamoto za maisha zimetanua mawazo yangu na kufikiria kufanya a small busness ambayo nauhakika itanifanya niwe independent..
Kwa ufupi tu kuhusu hyo biashara..
Mepanga kufungua sehemu ya kuchezesha games(play station 3).
Biashara inahitaji si chini ya mil 2.5.
Mchanganuo kwa ufupi
play station 3@450000(najua pa kupata kwa bei hyo)
T.v 3 inch 21@150000
frame six month 300000
inayobaki ni kwa ajiri ya vitu vidogo dogo kama mabench,meza,feni n.k.
Makadirio ya mapato
Uwezo wa kutoa hyo service kwa masaa 12..
assumption masaa 6 machine kutumika mfururizo.
Tsh.300 kwa dakika 10.
kwa saa itakuwa 10800@1 machine.
@3 machiner kwa masaa 6 32400..
Makadirio kwa siku mefanya Tsh.30000
kwa mwezi Tsh. 900000..
Eneo la biashara lina wateja wa uhakika kwa maana meshafanya uchunguzi wa kina.,
changamoto eg.umeme,wizi..Mejipanga kwa hayo..
Nyinginezo..Maxcom,tigopesa,mpesa n.k.
Na mengi ya kuandika but naomba niishie hapa.
Kwa atakayekuwa tayari kunisaidia kwa Mkopo tuwasiliane kwa number +255 714 588799
Ahsanteni
Kwa jina naitwa Amani.megraduate mwaka jana Bachelor of Accounting..Changamoto za maisha zimetanua mawazo yangu na kufikiria kufanya a small busness ambayo nauhakika itanifanya niwe independent..
Kwa ufupi tu kuhusu hyo biashara..
Mepanga kufungua sehemu ya kuchezesha games(play station 3).
Biashara inahitaji si chini ya mil 2.5.
Mchanganuo kwa ufupi
play station 3@450000(najua pa kupata kwa bei hyo)
T.v 3 inch 21@150000
frame six month 300000
inayobaki ni kwa ajiri ya vitu vidogo dogo kama mabench,meza,feni n.k.
Makadirio ya mapato
Uwezo wa kutoa hyo service kwa masaa 12..
assumption masaa 6 machine kutumika mfururizo.
Tsh.300 kwa dakika 10.
kwa saa itakuwa 10800@1 machine.
@3 machiner kwa masaa 6 32400..
Makadirio kwa siku mefanya Tsh.30000
kwa mwezi Tsh. 900000..
Eneo la biashara lina wateja wa uhakika kwa maana meshafanya uchunguzi wa kina.,
changamoto eg.umeme,wizi..Mejipanga kwa hayo..
Nyinginezo..Maxcom,tigopesa,mpesa n.k.
Na mengi ya kuandika but naomba niishie hapa.
Kwa atakayekuwa tayari kunisaidia kwa Mkopo tuwasiliane kwa number +255 714 588799
Ahsanteni