Tatizo ni kwamba Putin ndiye anapambana na USA na sio nchi ya Russia

Tatizo ni kwamba Putin ndiye anapambana na USA na sio nchi ya Russia

vibesen xxx

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
3,187
Reaction score
6,620
Kiukweli putin kwa miaka kumi iliyoipita kwa kiasi amefanikiwa kuisumbua USA kutotimiza malengo yake kwa asilimia mia moja

Kuanzia kule mashariki ya kati,syria na hata sasa Ukraine

Lakini tatizo ni moja anayepambana na USA ni Putin na si nchi ya Russia

Ukisoma kitabu cha the power of delayed gratification

utaelewa kuwa USA ni nchi hatari sana wanatumia kila fursa watakuondoa tu ni km vile fisi ambavyo huamini ipo siku mkono wa binadamu aubugie ndivyo wakubwa walivyo

Putin akianguka Russia atarudishwa kule kule alipotoka

Uki trace miaka 20 ya Putin akiwa kiongozi wa nchi amefanya nini utagundua ametumia miaka hiyo kuitangaza Russia ulimwenguni baada ya kuanguka lkn mkakakati upi anauweka yeye akiwa nje ya Kremlin ni kwamba ni hakuna

Kwahiyo USA ina deal na Putin haijalishi watampata lini lkn siku zote adui yao huwa hafikishi miaka 40 ya kuwasumbua watamsubiri watamfyeka

Ningetamani Putin aijenge Russia yenye nguvu lkn bado hajafanya ivyo ila amejijenga yeye km powerful

Hivyo hivyo kwa Uchina, Uchina wana chama chao chenye nguvu cha CCP
Nje ya Ccp China ni sawa na tembo wa kuchora

Ccp ikianguka ndio kwa heri china

Tofauti na USA ambayo wao hawaamini ktk mtu ila wanaamini USA come first
 
Kiukweli putin kwa miaka kumi iliyoipita kwa kiasi amefanikiwa kuisumbua USA kutotimiza malengo yake kwa asilimia mia moja

Kuanzia kule mashariki ya kati,syria na hata sasa Ukraine

Lakini tatizo ni moja anayepambana na USA ni Putin na si nchi ya Russia

Ukisoma kitabu cha the power of delayed gratification

utaelewa kuwa USA ni nchi hatari sana wanatumia kila fursa watakuondoa tu ni km vile fisi ambavyo huamini ipo siku mkono wa binadamu aubugie ndivyo wakubwa walivyo

Putin akianguka Russia atarudishwa kule kule alipotoka

Uki trace miaka 20 ya Putin akiwa kiongozi wa nchi amefanya nini utagundua ametumia miaka hiyo kuitangaza Russia ulimwenguni baada ya kuanguka lkn mkakakati upi anauweka yeye akiwa nje ya Kremlin ni kwamba ni hakuna

Kwahiyo USA ina deal na Putin haijalishi watampata lini lkn siku zote adui yao huwa hafikishi miaka 40 ya kuwasumbua watamsubiri watamfyeka

Ningetamani Putin aijenge Russia yenye nguvu lkn bado hajafanya ivyo ila amejijenga yeye km powerful

Hivyo hivyo kwa Uchina, Uchina wana chama chao chenye nguvu cha CCP
Nje ya Ccp China ni sawa na tembo wa kuchora

Ccp ikianguka ndio kwa heri china

Tofauti na USA ambayo wao hawaamini ktk mtu ila wanaamini USA come first
"U.S.A haamini katika mtu ila wanaamini U.S.A come first".

Ujue kuna ujinga mwingi sana humu duniani kwa hiyo unataka kumaanisha U.S.A inaongozwa na maroboti ?

Hii haina tofauti na chama fulani hapa bongo kimejaa wafuasi wapumbavu wanasema hatuamini katika watu tunaamini katika mfumo sasa sijui hiyo mifumo inajengwa na maroboti ?

Wewe mleta mada ni mjinga unadhani tofauti na mashindano ya marekani na Urusi yameaanza baada ya Putin kuwa kiongozi wa Urusi hiki ni kiwango cha juu cha ujinga.

Ujinga mwingine ni kuzichukulia hizo Urusi, U.S.A na China sawa na nchi yako ya kipuuzi namna zinavyo endeshwa.

Akili yako ndogo ila unajaribu kujihusisha na akili za nchi kubwa bora ubaki kushabikia siasa za matundu ya vyoo za nchi yako.
 
Ilikuwepo Soviet, ikaanguka, sembuse Russia ya Putin
 
Kiukweli putin kwa miaka kumi iliyoipita kwa kiasi amefanikiwa kuisumbua USA kutotimiza malengo yake kwa asilimia mia moja

Kuanzia kule mashariki ya kati,syria na hata sasa Ukraine

Lakini tatizo ni moja anayepambana na USA ni Putin na si nchi ya Russia

Ukisoma kitabu cha the power of delayed gratification

utaelewa kuwa USA ni nchi hatari sana wanatumia kila fursa watakuondoa tu ni km vile fisi ambavyo huamini ipo siku mkono wa binadamu aubugie ndivyo wakubwa walivyo

Putin akianguka Russia atarudishwa kule kule alipotoka

Uki trace miaka 20 ya Putin akiwa kiongozi wa nchi amefanya nini utagundua ametumia miaka hiyo kuitangaza Russia ulimwenguni baada ya kuanguka lkn mkakakati upi anauweka yeye akiwa nje ya Kremlin ni kwamba ni hakuna

Kwahiyo USA ina deal na Putin haijalishi watampata lini lkn siku zote adui yao huwa hafikishi miaka 40 ya kuwasumbua watamsubiri watamfyeka

Ningetamani Putin aijenge Russia yenye nguvu lkn bado hajafanya ivyo ila amejijenga yeye km powerful

Hivyo hivyo kwa Uchina, Uchina wana chama chao chenye nguvu cha CCP
Nje ya Ccp China ni sawa na tembo wa kuchora

Ccp ikianguka ndio kwa heri china

Tofauti na USA ambayo wao hawaamini ktk mtu ila wanaamini USA come first
Ukitaka kuyaelewa haya yanayotokea leo katika hiyo Dunia ya Kwanza nenda kaangalie Documentary inaitwa Putin and the Presidents.
 
Kiukweli putin kwa miaka kumi iliyoipita kwa kiasi amefanikiwa kuisumbua USA kutotimiza malengo yake kwa asilimia mia moja

Kuanzia kule mashariki ya kati,syria na hata sasa Ukraine

Lakini tatizo ni moja anayepambana na USA ni Putin na si nchi ya Russia

Ukisoma kitabu cha the power of delayed gratification

utaelewa kuwa USA ni nchi hatari sana wanatumia kila fursa watakuondoa tu ni km vile fisi ambavyo huamini ipo siku mkono wa binadamu aubugie ndivyo wakubwa walivyo

Putin akianguka Russia atarudishwa kule kule alipotoka

Uki trace miaka 20 ya Putin akiwa kiongozi wa nchi amefanya nini utagundua ametumia miaka hiyo kuitangaza Russia ulimwenguni baada ya kuanguka lkn mkakakati upi anauweka yeye akiwa nje ya Kremlin ni kwamba ni hakuna

Kwahiyo USA ina deal na Putin haijalishi watampata lini lkn siku zote adui yao huwa hafikishi miaka 40 ya kuwasumbua watamsubiri watamfyeka

Ningetamani Putin aijenge Russia yenye nguvu lkn bado hajafanya ivyo ila amejijenga yeye km powerful

Hivyo hivyo kwa Uchina, Uchina wana chama chao chenye nguvu cha CCP
Nje ya Ccp China ni sawa na tembo wa kuchora

Ccp ikianguka ndio kwa heri china

Tofauti na USA ambayo wao hawaamini ktk mtu ila wanaamini USA come first

Wana akina Putin wengi sana wanaandaliwa. Hawataki kuwaweja wazi kwa sababu mahsusi.

Marekani naye sasa ni kibogoyo. Hawana rais sasa na hata hawa mashaibu wawili wakiondoka miaka 4 ijayo.
 
Kiukweli putin kwa miaka kumi iliyoipita kwa kiasi amefanikiwa kuisumbua USA kutotimiza malengo yake kwa asilimia mia moja

Kuanzia kule mashariki ya kati,syria na hata sasa Ukraine

Lakini tatizo ni moja anayepambana na USA ni Putin na si nchi ya Russia

Ukisoma kitabu cha the power of delayed gratification

utaelewa kuwa USA ni nchi hatari sana wanatumia kila fursa watakuondoa tu ni km vile fisi ambavyo huamini ipo siku mkono wa binadamu aubugie ndivyo wakubwa walivyo

Putin akianguka Russia atarudishwa kule kule alipotoka

Uki trace miaka 20 ya Putin akiwa kiongozi wa nchi amefanya nini utagundua ametumia miaka hiyo kuitangaza Russia ulimwenguni baada ya kuanguka lkn mkakakati upi anauweka yeye akiwa nje ya Kremlin ni kwamba ni hakuna

Kwahiyo USA ina deal na Putin haijalishi watampata lini lkn siku zote adui yao huwa hafikishi miaka 40 ya kuwasumbua watamsubiri watamfyeka

Ningetamani Putin aijenge Russia yenye nguvu lkn bado hajafanya ivyo ila amejijenga yeye km powerful

Hivyo hivyo kwa Uchina, Uchina wana chama chao chenye nguvu cha CCP
Nje ya Ccp China ni sawa na tembo wa kuchora

Ccp ikianguka ndio kwa heri china

Tofauti na USA ambayo wao hawaamini ktk mtu ila wanaamini USA come first
Duuuh 😀😀😀,basi utakuta na wewe eti ni msomi mwenye Ka degree

Kua na watu wanaofikiri kama wewe ni hatari katika maisha haya
 
Kiukweli putin kwa miaka kumi iliyoipita kwa kiasi amefanikiwa kuisumbua USA kutotimiza malengo yake kwa asilimia mia moja

Kuanzia kule mashariki ya kati,syria na hata sasa Ukraine

Lakini tatizo ni moja anayepambana na USA ni Putin na si nchi ya Russia

Ukisoma kitabu cha the power of delayed gratification

utaelewa kuwa USA ni nchi hatari sana wanatumia kila fursa watakuondoa tu ni km vile fisi ambavyo huamini ipo siku mkono wa binadamu aubugie ndivyo wakubwa walivyo

Putin akianguka Russia atarudishwa kule kule alipotoka

Uki trace miaka 20 ya Putin akiwa kiongozi wa nchi amefanya nini utagundua ametumia miaka hiyo kuitangaza Russia ulimwenguni baada ya kuanguka lkn mkakakati upi anauweka yeye akiwa nje ya Kremlin ni kwamba ni hakuna

Kwahiyo USA ina deal na Putin haijalishi watampata lini lkn siku zote adui yao huwa hafikishi miaka 40 ya kuwasumbua watamsubiri watamfyeka

Ningetamani Putin aijenge Russia yenye nguvu lkn bado hajafanya ivyo ila amejijenga yeye km powerful

Hivyo hivyo kwa Uchina, Uchina wana chama chao chenye nguvu cha CCP
Nje ya Ccp China ni sawa na tembo wa kuchora

Ccp ikianguka ndio kwa heri china

Tofauti na USA ambayo wao hawaamini ktk mtu ila wanaamini USA come first
Crap
 
Hivi siku hizi JF ndo inamiliki vilaza hivi?
JF sio Tena home of interlectuals? Kila mwenye pumba Zake analeta na kuachiwa kirahisi kabisa.
Kwa hali ya kawaida mtu huyu hajui kabisa kuhusu foreign affairs na international Relations bila kusahau Geo Politics.
 
Hivi siku hizi JF ndo inamiliki vilaza hivi?
JF sio Tena home of interlectuals? Kila mwenye pumba Zake analeta na kuachiwa kirahisi kabisa.
Kwa hali ya kawaida mtu huyu hajui kabisa kuhusu foreign affairs na international Relations bila kusahau Geo Politics.
Hoja hujibiwa kwa hoja. Acha kusingizia jamii forum eti imevamiwa.
 
Nafikiri wewe ndio HUJAMUELEWA. Alichokiongea ni sahihi kabisa.
Comment yako inasadifu user name yako. Na wewe bado ni mtoto wa shule, haya mambo yako juu uwezo wako. Halafu unaposema yuko sahihi una maana gani? Au wewe ndio kipimo cha usahihi huo? Acha masihara dogo.
 
Comment yako inasadifu user name yako. Na wewe bado ni mtoto wa shule, haya mambo yako juu uwezo wako. Halafu unaposema yuko sahihi una maana gani? Au wewe ndio kipimo cha usahihi huo? Acha masihara dogo.
Ahahahahaha!! Halafu bila aibu unamjibu Mtoto wa Shule! Ahahahahaha!!!
 
Back
Top Bottom