Tatizo ni nini katika hii picha?

Safi kabisa nitunuku hata na ka thanks basi kama kweli umefurahi....uliwahi kuwa na hii maneno nini ukiwa chuo?

nishakugongea mpwa..yaani umeongea point kabisa..mitaa ya chuo mzee ndo dizaini hizo kabisa..
 

Aisee you are so sympathy. Kweli si vizuri kuweka picha ya mtu na kuanza kumshambilia hivyo. Inaonesha ni jinsi gani humu JF kuna watu wako very low civilized.

Shame upon the fuckin one who initiated this stupid topic.
 
Sijaona kasoro yoyote ,nachojivunia ni kwamba mbongo mwanamke anatoa consultation ya ukweli
 
Tatizo lake pia amevaa cotton ambayo kwa kawaida huwa ni senstive na maji. Kwa hiyo hakujua avae nguo gani kwenye occassion kama hiyo
 
Mbona mie sioni tatizo??? jasho ni tatizo? tena kwa dar? au ukifanya kazi unesco jasho linakuogopa? hakika kuna watu wachanga humu ndio maana chadema imeshamiri!!!
 
Sikutegemea kwapa la huyu mama limedrooo attention kubwa kwa watu kujadili, Mhhhhhh simo humo!
 
Mbona mie sioni tatizo??? jasho ni tatizo? tena kwa dar? au ukifanya kazi unesco jasho linakuogopa? hakika kuna watu wachanga humu ndio maana chadema imeshamiri!!!

Huwezi kuona tatizo kama wewe ni sehemu ya tatizo/una kikwapa kinachovuja
 
Mbona mie sioni tatizo??? jasho ni tatizo? tena kwa dar? au ukifanya kazi unesco jasho linakuogopa? hakika kuna watu wachanga humu ndio maana chadema imeshamiri!!!

Hapo kwenye red can you please explain
 
kwani hoja ni chadema au ukionacho katika picha?cna imani na aliyekutuma,yangekuwa mawazo yako ucngejibu hivyo!ila chadema ipo na kuna kitu imefanya ndo maana unaizungumzia!
 
ikiwa sehemu inayo onekana imewachwa hali kama hiyo, jee hizo sizisizo onekana zitakuwa katika hali gani ?lifikirie hilo Mmm (mwanamke si kivazi tu na mamekapu )
 

Good job Ngabu.
Nafikiri ingekuwa vyema kama ungekuwa consultant wa consultant wa UNESCO.....ahahaha ahaha ahaa aha:caked:
 
Joto kwenye gari, joto barabarani joto ndani ya office kungekuwa na AC labda ingesaidia. Pia wengine ndo wamezoea lakini si kila mtu wa TZ yuko hivyo kama NYANI NGABU alivyosema kutaka kutudharirisha wabongo wote

Inabidi tuweke viyoyozi mitaa ya Dar especially jijini kati.....hahaa.a.ahahaha aaaahaha
 


Brain yako iko very active kuliko maelezo, it's true hayo uliyoandika.
Huwa nashindwa kupata majibu, inakuwaje mademu wabovu kwa shape na body morphology ndo huwa wanakuwa wakali kwenye masomo darasani!! Jamani kuna mtu anaweza kutusaidia hapa (Psychologist kama yupo).
 
Nyani Ngabu umesema ukweli yaani bongo kuanzia hapo aiport tu unakaribishwa na vikwapa yaani watu hawajijali kabisa! inatia kinyaa!! kwenye sehemu professional wangejitahiditahidi basi Yarkk!!:A S angry:
 
Good job Ngabu.
Nafikiri ingekuwa vyema kama ungekuwa consultant wa consultant wa UNESCO.....ahahaha ahaha ahaa aha:caked:

Siku hizi kuna clinical strength wetness protection antiperspirant deodorants. Ni uzembe wa watu tu wa kutopenda kujipenda kwenye mambo ya usafi wa mwili....
 
hana uzoefu kuongea mbele za watu - anatoka jasho la kwapa

Nakubaliana na wewe kwa sababu kuna watu huwa hawawezi kusimama mbele za watu (mfano makanisani/kwenye mihadhara). Wanakuwa wanatetemeka na hii mara nyingi hutokana na audience ambayo utakutana nayo. Just imagine huyo mama ana presentation ambayo ni technical? Jamani kijasho huwa kinatoka mfano kuna jamaa yangu alikuwa MC katika kikao ambacho kilijumuisha na mabalozi sasa hapo ilikuwa ni ngeli tu kwa kwenda mbele jamaa kijasho kilikuwa kinashuka tu uzuri alikuwa amevaa suti alipoitoa shati lote lilikuwa halitamaniki kwa kulowa jasho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…