Wadau, sukari imeanza kuadimika na bei imefika shs 2,000/- per kg. Hali hii inasababishwa na nini? Serikali naona imeamua kuuchuna baada ya awali kuwapiga mkwara wazalishaji na Wafanyabiashara kushusha bei.
Naona hali imerejea kama mwanzo; tatizo nini? Isijekuwa ni sababu ya mgawo wa umeme.