Tatizo ni

Tatizo ni

iddy eba

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
573
Reaction score
1,171
Kum-wish rafki yako cku ya birthday yake sio tatizo, tatizo ni pale unapomwambia "uishi miaka buku" au "uishi miaka miaka mingi kama no za vocha" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] as if we ndo mtoa roho alaf ndo umempa ofa ya miaka mengne ya kuishi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] my dear, em kuwa siriaz kdgo, yan acha kuingilia kaz ya mungu
[HASHTAG]#HappenOnlyInTZ[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom