Tatizo nini? Ameota Kinyama cheupe pembeni ya uke, hakuna maumivu

Stanboy

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2013
Posts
1,114
Reaction score
1,308
Habarini ndg zangu?

Maada inajieleza hapo juu, hajui afanye nini? na hajui inasababishwa na nini? na ni ugonjwa gani?unatibiwa vipi?

Nimeambatanisha picha kwa ufafanuzi zaidi.

Msaada wenu ni muhimu mno
 
Picha zinagoma ku-upload wadau
 
Habarini ndg zangu?
Maada inajieleza hapo juu...
hajui afanye nini?
na hajui inasababishwa na nini?
na ni ugonjwa gani?unatibiwa vipi?
Nimeambatanisha picha kwa ufafanuzi zaidi..

Msaada wenu ni muhimu mno

umeambatanisha na picha ya ukke husika...?
duu mkuu umedhamiria kweli kweli.
 
Kuna vitu hua vinaitwa "sunzua" kama sijakosea kuliandika hili jina.kuna vingine huletwa na virus waitwao HPV Human papiloma virus hebu nendeni hospitali mkacheki magonjwa ya zinaa
 
Hebu weka picha nikupe msaada
 
Mkuu kamuone Dr. akupe ushauri. Kama ni masihara mungu akulaani kama Jecha Zanzibar.
 
Habarini ndg zangu?
Maada inajieleza hapo juu...
hajui afanye nini?
na hajui inasababishwa na nini?
na ni ugonjwa gani?unatibiwa vipi?
Nimeambatanisha picha kwa ufafanuzi zaidi..

Msaada wenu ni muhimu mno

Hiyo ni Venereal Watts. Inatibiwa kwa kuiunguza na gesi ya hydrogen. kama ikisambaa itamsumbua sana wakati wa kuinguza na hiyo gesi. Mpe pole sana alimkubalia mtu mgonjwa kuingia pale sehemu-sehemu.
 
Mkuu kamuone Dr. akupe ushauri. Kama ni masihara mungu akulaani kama Jecha Zanzibar.

Asante ndg kwa ushauri,
wala si masihara nilitaka nipate prior informations kabla ya kwenda kwa wataalamu..
 
Hiyo ni Venereal Watts. Inatibiwa kwa kuiunguza na gesi ya hydrogen. kama ikisambaa itamsumbua sana wakati wa kuinguza na hiyo gesi. Mpe pole sana alimkubalia mtu mgonjwa kuingia pale sehemu-sehemu.

ASante sana ndg yangu
 
Hiyo ni Venereal Watts. Inatibiwa kwa kuiunguza na gesi ya hydrogen. kama ikisambaa itamsumbua sana wakati wa kuinguza na hiyo gesi. Mpe pole sana alimkubalia mtu mgonjwa kuingia pale sehemu-sehemu.

Daah...hii sentensi ya mwisho kama inaweza zua mtafaruku hivi.
 
Pole mgonjwa/ muuguzaji.. Nimejikuta nikitoa tabasamu pana sana baada ya kusoma post kuwa ina picha lakini niliposoma comments ndo hoi kabisaa!! Nenda hospitali ukatibiwe mwaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…