Tatizo nini?

Tatizo nini?

Daullah

Senior Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
190
Reaction score
46
Cjui nn tatzo hasa lnalo sababisha primary ejaculation?yaan me hauchkui hta dk 5!
 
mhh unatakiwa kupunguza vyakula vya mafuta vile vile nyama nyeupe kama samaki wabich kiwe chakula chako kikuu
chai yako iwe ya rangi,tangawizi,ndimu, na sukari kido
pia usisahau kutumia midalasini
na wakati watendo jaribu kuwaza mbali kidogo na siyo kuwa na hasira ya kufanya mapenzi.
hii huwatokea wapenzi ambao ni wapia ila baada ya muda tatizo linaisha.
 
Kama unaangali picha za X muda mfupi kabla ya kuduu acha! Na chakula bora zingatia pia unaweza ukatumia utaalamu wa kutulia kidogo unapoingiza uume punguza pupa.
 
Kama unaangali picha za X muda mfupi kabla ya kuduu acha! Na chakula bora zingatia pia unaweza ukatumia utaalamu wa kutulia kidogo unapoingiza uume punguza pupa.
Ni kati ya pcha nnazozichkia maishan mwngu ni hzo za x,thanx anyway.
 
Back
Top Bottom