itakua aliyefunga alarm kuna mistake amefanya,,kwenye ufungaji jaribu kui cancel kwanza hyo alarm,,ni rahisi tu kwenye hyo alarm kunakuaga na fuse kama tatu hivi,,mbili nyekundu moja ya blue,chomoa hyo fuse ya blue, alafu test gari yako kama umefunga alarm zile za waya nyeusi tupu hapo mpaka fundi maana itakua ngumu kukuelekeza namna ya kui cancel,
Wakuu nina gari yangu ni Rav 4 kill timeKwani ni lazima kujibu kama hujui cha kujibu? Kwaiyo ww gari lako liko hivyo hivyo kama ulivyolinunua?
Thank u umenipa mwanga kidogo, nitaenda kutafuta mafundi wa umeme wa magari hope they will help me
Wakuu nina gari yangu ni Rav 4 kill time
Since nimefunga alarm, nikiwasha taa full Gari linazimika
Haya basi ngoja nikujibu: TATIZO NI MATAIRI
Watu kama nyinyi ndio mliwatajirisha mafundi simu sababu ya kukosa reasoning. Nokia RingO ikiisha chaji mnapeleka kwa fundi, mnaambiwa profoma invoice imeungua, mnakamuliwa hela simu inachajiwa unaondoka kwa Fundi Sele umefuraaaaaahi
Mbona we jamaa kichwa chako kizito kama boga ambalo halijakomaa?Sasa ulitaka nisiweke Alarm? Au unatakaje?
Au kosa langu ni nn hapo?
Mbona we jamaa kichwa chako kizito kama boga ambalo halijakomaa?
We umeweka hapa swali lako la kizuzu, hebu jisome...usipoona ujinga kwenye swali lako nenda mbio shule kampe mwalimu wako aliyekufundisha walau 2000 ya pole.
Swali lako linafanana na mwanamke kigori mpumbavu anayeuliza: WAKATI NILIPOKUWA BIKRA SIKUWA NA MIMBA, SINCE JUMA AMENIFANYA NINA MIMBA...SIJUI MIMBA INASABABISHWA NA JUMA AU MAANDAZI NILIOKULA IJUMAA?
Una umri gani kamanda?[/QUOT
Hiyo ndio shida ya kutumia simu za wake zenu kuingia jf
Kwa akili zako I'm so sure huna uwezo wa kumiliki hata smat phone ya elf 20
πππππ fala sana we jamaa hahaaaa!!!Mbona we jamaa kichwa chako kizito kama boga ambalo halijakomaa?
We umeweka hapa swali lako la kizuzu, hebu jisome...usipoona ujinga kwenye swali lako nenda mbio shule kampe mwalimu wako aliyekufundisha walau 2000 ya pole.
Swali lako linafanana na mwanamke kigori mpumbavu anayeuliza: WAKATI NILIPOKUWA BIKRA SIKUWA NA MIMBA, SINCE JUMA AMENIFANYA NINA MIMBA...SIJUI MIMBA INASABABISHWA NA JUMA AU MAANDAZI NILIOKULA IJUMAA?
Una umri gani kamanda?
Unawasha full ukiwa porini au huku mjiniWakuu nina gari yangu ni Rav 4 kill time
Since nimefunga alarm, nikiwasha taa full Gari linazimika
Je itakuwa ni ishu ya Alam au ni tatizo lingine tu?
Thank you in advance
Hahahahaaaaa! Nimejikuta nacheka kwa sauti mbele za watu. Si kwa majibu hayaMbona we jamaa kichwa chako kizito kama boga ambalo halijakomaa?
We umeweka hapa swali lako la kizuzu, hebu jisome...usipoona ujinga kwenye swali lako nenda mbio shule kampe mwalimu wako aliyekufundisha walau 2000 ya pole.
Swali lako linafanana na mwanamke kigori mpumbavu anayeuliza: WAKATI NILIPOKUWA BIKRA SIKUWA NA MIMBA, SINCE JUMA AMENIFANYA NINA MIMBA...SIJUI MIMBA INASABABISHWA NA JUMA AU MAANDAZI NILIOKULA IJUMAA?
Una umri gani kamanda?
Fala dume lakini...ππ!πππππ fala sana we jamaa hahaaaa!!!
HahaaaaaMbona we jamaa kichwa chako kizito kama boga ambalo halijakomaa?
We umeweka hapa swali lako la kizuzu, hebu jisome...usipoona ujinga kwenye swali lako nenda mbio shule kampe mwalimu wako aliyekufundisha walau 2000 ya pole.
Swali lako linafanana na mwanamke kigori mpumbavu anayeuliza: WAKATI NILIPOKUWA BIKRA SIKUWA NA MIMBA, SINCE JUMA AMENIFANYA NINA MIMBA...SIJUI MIMBA INASABABISHWA NA JUMA AU MAANDAZI NILIOKULA IJUMAA?
Una umri gani kamanda?
Mkuu nami gari yangu nikiwasha taa full taa zote zinazima. Tatizo laweza kuwa niniitakua aliyefunga alarm kuna mistake amefanya,,kwenye ufungaji jaribu kui cancel kwanza hyo alarm,,ni rahisi tu kwenye hyo alarm kunakuaga na fuse kama tatu hivi,,mbili nyekundu moja ya blue,chomoa hyo fuse ya blue, alafu test gari yako kama umefunga alarm zile za waya nyeusi tupu hapo mpaka fundi maana itakua ngumu kukuelekeza namna ya kui cancel,