Tatizo sugu la foleni Nairobi kuwa historia


Hata mimi nilikuwa Nairobi nimeliona hilo, huku kwetu tutasubiri sana tukiwa na serikali legelege, hata Magufuli simwamini tena kutokana na kauli zake alizotoa Igunga, hana tofauti na baba yake. Hivi ni nani asiyejua kuwa Rais wa mwisho Tz aliondoka madarakani 2005? Mema yatafanyika iwapo tutaondoa hiki chama cha maslahi madarakani, kama sivyo tukubali kuwa twamhitaji Lowassa! Hawa wengine hawatufikishi mahali. Mabadiliko lazima jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…