vickboy.com
Member
- Jul 29, 2013
- 85
- 23
Habarini wana JF, mwezenu hivi karibuni nilipatwa na tatizo kiafya, nilikuwa napata maumivu wakati wa kukojoa, usaha ulikuwa unatoka kwenye uume nikaenda zahanati nikawaambia tatizo langu wakanipa doz bila hata kupima nikaanza kutumia.
Baada ya dozi kuisha tatizo likawa palepale japo nilipata ahuen kidogo, wiki iliyopita nikarud tena zahanati na nikaomba kupimwa, kweli nikapimwa mkojo majibu yakaja sina tatizo.
Nikashangaa sana wakati usaha kwenye uume unatoka, basi doctor akanipa dozi tena kwa mara nyingine, nilipewa doxy, cipro na metro hvohvo japo anasema sina tatizo, cha ajabu nimemaliza dozi majuzi lakin still tatizo linaonekana bado lipo maana usaha bado unatoka japo sio kwa mfululizo.
Naombeni ushauri wenu tafadhalini.
Baada ya dozi kuisha tatizo likawa palepale japo nilipata ahuen kidogo, wiki iliyopita nikarud tena zahanati na nikaomba kupimwa, kweli nikapimwa mkojo majibu yakaja sina tatizo.
Nikashangaa sana wakati usaha kwenye uume unatoka, basi doctor akanipa dozi tena kwa mara nyingine, nilipewa doxy, cipro na metro hvohvo japo anasema sina tatizo, cha ajabu nimemaliza dozi majuzi lakin still tatizo linaonekana bado lipo maana usaha bado unatoka japo sio kwa mfululizo.
Naombeni ushauri wenu tafadhalini.