Dogo punguza kula chipsi mayai na ikibidi acha kabisa,pendelea kula vyakula vya asili kama ugali wa dona na samaki fresh,ndizi za kupikwa zenye mchanganyiko na karang zilizosagwa,mihogo mboga mboga,mahindi ya kuchoma usisahau asali na maziwa pia,pendelea na supu ya samaki ukifululiza mwezi mzima ndonga itakuwa inasimama kila mara inaleta nyege sana hii kitu.