Tatoo za mpenzi wangu, zinanivunja moyo. Nampenda ila sijuai nifanyaje

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,239
Hii imekuwa inanisumbua sana yapata mwaka sasa. Mpenzi wangu katika malavi lavi na kudadavuana ya kiujana na boyfriend wake wa kwanza. Boyfreind wake alimlisha yamini mpaka kafikia kuchora Tatoo mbili kwenye mwili wake. Moja ya pajani juu sana ina alama ya kopa na mameno Victa for Life. Na ya kwenye makalio ameandika For Simple V. Victa alimtenda na mahusiano yao yakaisha bila kufikia malengo yao. Now nipo mimi.

Nampenda, naitaji kumuoa ila hili linaniumiza sana
 
Kwani huwa hazifutiki?
Ukipenda boga penda na UA lake
 
Tumia mawese na sodom apple kuifuta
 
pole, vumilia tu mana ilishatokea na huwezi kupingana na ukweli
 
Kwani huwa hazifutiki?
Ukipenda boga penda na UA lake

Tatizo nimempa muda wa yeye kushuhulika nazo bila kumwambia (kipimo). Yeye hana habari kabisa. Anaona kawaida
 
hahahahhaha yaani alichora hadi kwenye makalio? usiwe na wasi na wewe chora kwenye sehemu za sir andika jina lako na nyingine chora chini ya kitovu andika jina lako
 
hahahahhaha yaani alichora hadi kwenye makalio? usiwe na wasi na wewe chora kwenye sehemu za sir andika jina lako na nyingine chora chini ya kitovu andika jina lako

Kakomaa kiakili now. Alifanya hivyo wakati akiwa age ya 17-20. Tatizo lingine, mweupeee!
 
kwa aliyeandikwa kwenye tatoo kama anasoma hapa ameshajijua.
 

Mpende kama alivyo!
 
mh,tafta mwenye utaalamu wa kuzifuta. hakika inabore. me binafs huwa cpend kuona kumbukumbu yoyote ya x! iwe wangu ama wake. . .
 
Kakomaa kiakili now. Alifanya hivyo wakati akiwa age ya 17-20. Tatizo lingine, mweupeee!

ndiyo matatizo ya foolish age hayo na asipoangalia itakula kwake... hapo mweupee una maana rangi ya ngozi au ni kipunga?
 
Du!, Pole jomba. angekuwa ni dem wangu huyo lazima ningemuunguza na pasi ili hiyo chata itoke, kisha ningeweka chata yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…