Heres a heart and love tattoo dedicated to a spouse or partner
...mna maoni gani kuhusu kuchorwa tattoo yenye ujumbe kwa 'mupenzi?'
...kuna makabila ya kibantu yenye mila hii? ...kama unampenda, kwanini ukatae kujichora jina na ujumbe kwa 'mah'abouba' - Chokileti wa roho yako?
Mbu tatto is an art!...a permanent art it depend wapi unaweka na kwa malengo gani...Me i have 5 of them but i will ..........never draw tatoo kwenye mwili wangu kwa jina la mpenzi that is so stupid kwa watu wanaofanya hivyo......5 and none of them has my cuppy name on it!.....I have my mama name,my birth sign,rose flower,Spider and intial names of my siblings....next will be my kid names once i have one...
Inategemea...
ujichore halafu uhusiano ukiharibika inakuwaje?
Mbu tatto is an art!...a permanent art it depend wapi unaweka na kwa malengo gani...Me i have 5 of them but i will ..........never draw tatoo kwenye mwili wangu kwa jina la mpenzi that is so stupid kwa watu wanaofanya hivyo......5 and none of them has my cuppy name on it!.....I have my mama name,my birth sign,rose flower,Spider and intial names of my siblings....next will be my kid names once i have one...
Mbu tatto is an art!...a permanent art it depend wapi unaweka na kwa malengo gani...Me i have 5 of them but i will ..........never draw tatoo kwenye mwili wangu kwa jina la mpenzi that is so stupid kwa watu wanaofanya hivyo......5 and none of them has my cuppy name on it!.....I have my mama name,my birth sign,rose flower,Spider and intial names of my siblings....next will be my kid names once i have one...
Inategemea...
ujichore halafu uhusiano ukiharibika inakuwaje?
Mbu tatto is an art!...a permanent art it depend wapi unaweka na kwa malengo gani...Me i have 5 of them but i will ..........never draw tatoo kwenye mwili wangu kwa jina la mpenzi that is so stupid kwa watu wanaofanya hivyo......5 and none of them has my cuppy name on it!.....I have my mama name,my birth sign,rose flower,Spider and intial names of my siblings....next will be my kid names once i have one...
tattoos are tacky and ni uchafu to be honest.. Its one of those things u see in hoodrats in the states, Chavs in the UK and watoto wa mbwa in TZ, its a thing of the uncultured and usually low-self-esteem type of people. They do it to feel better and express themselves more.. as they have no better way than drawing on themselves. Its utterly sad. It is an art I'll give it that maybe, but its of the lowest kind.
...duh, ama kweli unachukia tattoo..., mrembo apakaye hina je?
Unayempenda huna sababu ya kumchora kwenye ngozi ya mwili wako. Mchore moyoni mwako (mpende kwa dhati). Huo nidyo mchoro hahali na usiofutika. Haya ma-tatoo ni kuharibu mwili wako tu. Siku mkiachana unafuta hiyo tatoo? tena nyingi siku hizi si za kuchora kwa rangi bali ni za surgery! Acheni hiyo bana!
Mashallah!
Urembo wa hina we acha tu! Huu siyo urembo wa kudumu na hauchukizi.Tatoo ni ya kudumu na imani za baadhi yetu zinakataza.