Tatu bora mchezaji bora Europe, Messi aachwa. Mshindi kutangazwa Agosti 25

Mshabiki wa Messi anaechangia hii thread inabid awe na roho ya kipekee au ajitoe ufahamu kama wengi walivyofanya
 
mbona MBWANA SAMATTA hapo hayupo jamani,huu ni ubaguzi wa kiwango cha lami aisee,haiwezekani dogo ajitume kiasi kile alafu asiwepo,TFF inabidi muingilie kati suala hili,haiwezekani kabisa,huu ni uzalilishaji mkubwa kwa kijana wetu Samatta
 
KING ATABAK KUWA KING
 
Uefa safar hii wameboronga yani no aibu ya Karne Kiufup wamekuwa wasengerema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…