Uefa safar hii wameboronga yani no aibu ya Karne Kiufup wamekuwa wasengerema
Nipo mkuu tunasuka kikos ili tumchakaze Los BlancosAisee upo? Achana na UEFA hawa, sijui hawakumona Messi kapendeza nywele zake. Kwenye Award Celemony angetia fora.
Nipo mkuu tunasuka kikos ili tumchakaze Los Blancos
Messi angetia fora kwenye red carpet[emoji1] [emoji1]
Messi ni mchezaji bora wa Dunia na ulimwengu mzima sio tu ulaya jueni hilo na yeye ndo anaye fanya watu wapende Mpira na sio kama hao wengine wanaofanya watu waipende Madrid tuuiu. Sisi tunapenda soka
Hahahah so by then mlikuwa wangapi?Nahisi umri wako umekusukuma kuandika huu utumbo,watu tunashabikia soka hata kabla Messi hajatoka kwenye tupu ya baba ake ili manii ziungane na yai la mama ake.
Hahahaaaaaaa hilo gogo duh!Mkuu umeandika wakati unakata gogo nini? Mchezaji bora wa uefa sio lazima awe anatoka barani ulaya
Ni wachezaji wote wanaocheza ligi za ulaya ndo maana msimu uliopita Messi alishinda tuzo hiyo