BETTY MSIGWA
Member
- Aug 8, 2016
- 43
- 36
Wana jukwaa jana niliamka nikiwa na Buku Jelo mfukoni, mara nyingi huwa na BET M-BET, Jana nikaamua nibadili mboga kwa kutumia Buku jelo (1500) yangu, niliuliza namna ya kubet TATUMZUKA nikaelekezwa, nikabet wakala, nikabeti tena wakala, hahahahahahaha nikasema hawa jamaa sio watu wema nikasema nabet wamalizie hii maana hata ikibaki jelo sina cha kutumia, nikaweka tarehe ya kuzaliwa , mwezi na namba ya mwishoni ya mwaka wangu wa kuzaliwa yaani 679....
Hahaha ndani ya dakika 547 tangu nibet.... nikapata ujumbe hongera namba zako tatu 679 zimefanana na namba ya bahati. nililamba 82090...baada ya kukatwa kodi.... Nikasema asante Tatu Mzuka, ila sasa tangu jana hadi sasa kila nikiweka wamelamba nataka nikae likizo mpaka ziishe ibaki buku jelo ntawakumbuka tena maana wanaweza rudisha zote.
Hahaha ndani ya dakika 547 tangu nibet.... nikapata ujumbe hongera namba zako tatu 679 zimefanana na namba ya bahati. nililamba 82090...baada ya kukatwa kodi.... Nikasema asante Tatu Mzuka, ila sasa tangu jana hadi sasa kila nikiweka wamelamba nataka nikae likizo mpaka ziishe ibaki buku jelo ntawakumbuka tena maana wanaweza rudisha zote.